Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

highly experienced ndio kila kitu!!!!!!!!!!! Vinginevo the all activity gets boring! Ila tusisahau kuna quick learners!!!!!!!
certified public vagi#a..
 
wote sawa. nlowatoa bikra sahv wanapiga game vibaya sana. hata safari za masafa wanapiga bila shaka
 
mie najua kwa wanawake you can tell imimekua used,mungu wa ajabu and never fair kwa wanaume huwezi kutell km imeenda mileage...ingekuwa vipi dushelele lingekuwa linalegea ngozi baada ya kutumika????,nadhani wengi wenu mngashika adabu maana mngebaki km sufi :shocked::bored:
 
Yote...kama hajui mapenzi...mchovu...ana maumbile tofauti na uliyoyatarajia......yani uvumilie yote ambayo yatakwenda kinyume na matarajio yako...

Na hilo ndo linawafanya mnakuwa mafisi. Ukipata mwenye experience ya watu mia mbili kabla ya wewe, hata kinyaa hupati!? Kujiheshim ndo mpango mzima, kama used, tafuta used mwenzio.
 
Na hilo ndo linawafanya mnakuwa mafisi. Ukipata mwenye experience ya watu mia mbili kabla ya wewe, hata kinyaa hupati!? Kujiheshim ndo mpango mzima, kama used, tafuta used mwenzio.

Ok....asante
 
Asante sana, siku hizi watu tunachukilia mambo kwa wepesi sana. Tunasikiliza kwa macho na kufikiria kwa masikio.


Kutokana na mafundisho ya neno la Mungu niliyofundishwa ni kuwa pale damu inapotoka wakati wa kufanya ngono kwa mara ya kwanza (kubikiri) hilo ni agano kati ya hao watu wawili yaani mwanaume na mwanamke.
 
Au ingekuwa inaisha kama chaki sijui kama kuna watu wangekuwa nazo.
 
unafikiri kwa nini makazini wanawema wanahitaji mwenye experience either miaka mitatu au mitano??? Hawataki mambo ya on job training???
 
iko hivi used ama experienced hawezi mtaka ambae not used as kuna vitu atakuwa ana lack prepartio before sex na kumuandaa mwenza wako so very possible atakuwa hamffikishi au kumtosheleza mwenza wake,na pia kutoweza kucheza mechi ya dk tisini ,kipindi kimoja tu atakuwa hoi so mtu ambae amezoea mambo kama hayo kwa kweli akimpata mtu kama huyu lazima aone kero,thats how it is.
 
nimekuelewa sana mkuu mpaka nimepitiliza na nimependa sana ufafanuzi wako wa kina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…