Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

vitu vingine vinakuja by instinct, ha kuna haja nani alimfundisha ndama kunyonya
 
Wote mkiwa bikra sawa...lakini mmoja akiwa bikra inakuwa shida....

Na ukimkubali bikra basi umvumilie na ukubali yote.....

Mnatakiwa kuwa brand new wote, kama ni used, basi wote used! Vinginevyo lawama hazitaisha.
 
Highly experienced ndio kila kitu!!!!!!!!!!! Vinginevo the all activity gets boring! Ila tusisahau kuna QUICK LEARNERS!!!!!!!
je ulishawahi kuona mtu ambaye hajawahi kunywa maji ya baridi , huwa anasema yanaunguza na huwa hayanywi sana , je ni kweli yanaunguza? ni kitu gani kinamsibu mdomoni? je ataacha kabisa kutumia? au ndiyo atapenda kuliko maji yote aliyokunywa?. hapo nafikiri highly experience itafuata
 
Mimi sikumbuki kama kuna mwalimu aliye nifundisha haka ka mchezo cha ajabu ni fundi niliye hitimu na kumaliza kozi zote EVERY CHAMPION WAS ONCE A BIGGINER
 
Kitu kipya ni kipya tu kitendo cha kujua mwandani wako alishatumiwa na mtu furani au watu furani kinakera sana hata mkitoka out mnapokutana na waliokuachia kijiti inakera sana bikra ndio kila kitu nina experience na hizo kero
 
Highly experienced ndio kila kitu!!!!!!!!!!! Vinginevo the all activity gets boring! Ila tusisahau kuna QUICK LEARNERS!!!!!!!
Tatizo mwanadamu haridhiki, ikinyesha anataka jua, likiwaka anaomba mvua. Ki ukweli Bikra ndiyo mambo yote maana hutasumbuka na Maex. Ndiyo maana najitahidi nikae Bikra na wakati wa kuoa nioe Bikra kama sintoolewa naye Bikra
 
Back
Top Bottom