Mtukufu rais wetu na huu ni uongo?

Mtukufu rais wetu na huu ni uongo?

tumsamehe bure kama aliona ngombe south afrika akasema hajawahi
kuwaona wakati irnga wapo wakubwa zaidi ya aliowaona ni
kuwa hanahabari au kasahau kuwa nchi yake ina hali mbaya kielimu.
katembelea shamba la mananasi huko Ghana anashangaa
badala ya yeye kuwekeza katika somo la food enginearing nchini mwake.
Mtukufu ni mmoja tu Mungu peke yake na sio binadamu.
 
Taifa letu bado changa. Kwa mujibu wa malecela miaka 20 ijayo Tanzania itaondoa matatizo yooote hayo na kuwa ya 11 kiuchumi duniani - DKK 45 tarehe 17/9/2012.
 
Kwa Kikwete hizo picha juu zinaonyesha maisha bora kwani ametokea kule na kufika hapo alipo. Try to imagine. Mkewe ambaye ni mwalimu wa chekekea sasa anaendeshwa kwenye mercedes Benz wewe unafanya mchezo! Anamiliki NGO yenye ulaji mnono tena usioguswa na wahasibu ukiachia mbali kwenda nje kujinoma kila mara. Kwa haya ndiyo maisha bora. Maisha bora kwa wote wawili watoto wao na waramba viatu wao. Ukiangalia mambo kwa makengeza ni kwamba Kikwete amefanikiwa kuleta maisha bora kwa wote wao na watu wao lakini si watanzania wote. Huo ndiyo usanii wa jamaa.

hapo nimekuelewa. maana pwani yote maisha yao yanafanana na hizo shule,lakini leo wanakula maisha ya kiyoyozi
 
Eti watu wanazusha uongo! Jamaa hakustaili kuwa rais kabisa. Hizo picha ni aibu yako. Na bado watu watakuja na vielelezo hadi ukimbie.
 

baada ya uhuru



pix+85+na+88+wanafunzi+wa+shule+msingi+misunkumilo+ya+nkasi+wakisoma+kwenye+darasa+lililoezakwa+kwa+turubai,+shule+hiyo+ina+madarsa+mawili+ya+namna+hiyo+ambayo+yanatumiwa+na+wanafunzi+wa+darasa+la+tatu+nne+na+awali.+hiyo+shule+ipo+kama+mit.jpg

jamani mimi siamini kama huu ni ukweli. Inaniuma sana. Si warudishe hela za uswisi angalau kidogo!!!!!
 
ukizoea kuvua samaki mmoja kwa ndoano na kurudi nyumba kwako na kusifiwa na mkeo bila kujali kuweka akiba huwezi kuelewa ni kwa nini kila mpenda nchi anasema maisha ni magumu na siyo bora
 
Huyu jamaa hakutakiwa kuwa rais period.Rais gani muda wote mipasho?Hebu unganisheni na hii statement "Foleni zitavunja ndoa za watu" serious????Hakuwaza kabisa kuhusu uchumi wetu,ni mafuta kiasi gani yanatumika kwenye hizi foleni?
 
Huyu mtu naona haeleweki. Kule kwao Bagamoyo alianza chekechea mpaka darasa la saba chini ya mbuyu, leo hii anajifanya kasahau? Hii nchi ilivyo tajiri eti mpaka leo wanafunzi wanakaa sakafuni na yeye kila kukicha anapaa kwenda kutalii maduniani. Ah kweli rais hatuna jamani.
 
5.JPG


6.JPG


9.JPG


1.jpg


2.jpg



NA HUU NAZANI UTAKUWA NI UONGO AU NI PHOTO SHOP

uongo visasi mahalu,babu seya,uongo mtoto kumiliki malori,uongo wa ulimboka,uongo udini.ni uongo jk sii dhaifu,tena ni uongo uongooo
 
Unasema muheshimiwa kapitiwa? Una uhakika huwa anapitiwa?
 
Kwa yeye la ukweli atasema ni uongo na la uongo atalisema ni ukweli.....Ari Mpya NGuvu Mpya na Kasi Mpya..
 
UONGO INDUSTRY:Haka ni kaupepo tu, nako katapita!!!
 
Mtoto akitengeneza mwanasesele, ufurahia sana na lazima tumpongeze!. Lakini kikongwe aliyetapanya mali zake zote kwa anasa wakati wa maisha ya ujana, akinunua Bicycle akijisifu tutamshanga sana maana yafaa aone aibu!, wala hatuwezi mpongeza pia!.
 

baada ya Uhuru



Pix+85+na+88+wanafunzi+wa+shule+msingi+Misunkumilo+ya+Nkasi+wakisoma+kwenye+darasa+lililoezakwa+kwa+turubai,+shule+hiyo+ina+madarsa+mawili+ya+namna+hiyo+ambayo+yanatumiwa+na+wanafunzi+wa+darasa+la+tatu+nne+na+awali.+Hiyo+shule+ipo+kama+mit.JPG

huu ni UZUSHI MKUBWA SANA, TENA NI UONGO WA HIZI JF KUTWA NZIMA KUMZUSHIA RAISI WANGU AAAAH MNANIUZI BWANA KAMA UKWELI MSEME HII NI WAPI KESHO TUTAENDA KUJENGA HUKO!
 
Hatua ya juu kabisa ya uongo ni pale mtu anapojidanganya mwenyewe. JK ameshafikia hatua hii.
 
Mie nakumbuka tukiwa wadogo tulikuwa tnatengeneza magari ya mabox na tyre za vizibo vya soda lakini siku hizi za mipasho hata engineers hawana la kufanya ukiangalia uzinduzi ni sherehe ngoma mziki watu kibao kula pesa tu ...hakuna cha akili kutumika kwa mambo ya maana hilo daraja na bara bara wanajenga wachina sasa sisi tuna soma kufanya nini au kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe angalia list ya walio hudhuria
 
Back
Top Bottom