Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,509
tumsamehe bure kama aliona ngombe south afrika akasema hajawahi
kuwaona wakati irnga wapo wakubwa zaidi ya aliowaona ni
kuwa hanahabari au kasahau kuwa nchi yake ina hali mbaya kielimu.
katembelea shamba la mananasi huko Ghana anashangaa
badala ya yeye kuwekeza katika somo la food enginearing nchini mwake.
Mtukufu ni mmoja tu Mungu peke yake na sio binadamu.
kuwaona wakati irnga wapo wakubwa zaidi ya aliowaona ni
kuwa hanahabari au kasahau kuwa nchi yake ina hali mbaya kielimu.
katembelea shamba la mananasi huko Ghana anashangaa
badala ya yeye kuwekeza katika somo la food enginearing nchini mwake.
Mtukufu ni mmoja tu Mungu peke yake na sio binadamu.