Mtukufu rais wetu na huu ni uongo?

"NA HUU NAZANI UTAKUWA NI UONGO AU NI PHOTO SHOP"

Dhaifu, ameshakubaini wewe kumiliki kiwanda kutengeza uongo japo picha zako zinaeleza uharisia wa jambo lenyewe.
 
5.JPG


6.JPG


9.JPG


1.jpg


2.jpg



NA HUU NAZANI UTAKUWA NI UONGO AU NI PHOTO SHOP

Naanza kuamini watanzania tunaweza tukawa tumelaaniwa, hivi ulichokifanya hapo umekielewa lakini? Mhe. Rais ajasema kwamba amemaliza matatizo yote yanayohusu elimu, kuanzia madarasa, vifaa vya kufundishia na uhaba wa walimu.

Wala hakusema amekausha na kumaliza kero na matatizo mbalimbali yanayokabili taifa, kama vile huduma za afya, ulinzi na usalama, upatikanaji na ugawaji wa maji safi na salama, upatikanaji wa chakula cha kutosha na ziada ya kushangaza, huduma za usafiri na mambo mengine mengi yanayokwaza maendeleo.

Uongo aliouongelea ni kitendo cha baadhi ya wana-siasa kutumia majukwaa vibaya, kwa kuishiwa kwao sera na kwa kuwa na sera nzee zilizo choka na kufubaa, zisizo sikilizika wala kutekelezeka, kuanza kutumia uongo kujipamba kisiasa.

Hii imekuwa desturi na tamaduni ya CHADEMA kudanganya umma katika mambo mbalimbali ili kujenga chuki kati ya wananchi na serikali yao.

Hapa ningetoa RAI yangu kwa umma wa watanzania kuwa, kila wanapoambiwa jambo na hawa wazushi wa mambo wawe wanaomba uthibitisho. Hii ndio dawa na mwarubaini wa waropokaji kama walivyo CHADEMA.

Rai yangu kwa CHADEMA ni kutaka kuwasisitiza ya kwamba, muda, umaarufu na rasilimali walizonazo wao kwa sasa walikuwa nazo NCCR-MAGEUZI, UDP na CUF. VISIWATIE JEURI.
 
5.JPG


6.JPG


9.JPG


1.jpg


2.jpg



NA HUU NAZANI UTAKUWA NI UONGO AU NI PHOTO SHOP

amerithi haya kwa baba lakini anajitahid kuypunguza na kazi ndogo msingi na zege la kujenga taifa hili kiuchumi lilikuwa bovu third class so kazi ni ngumu kufanya maendeleo nchi nzima lakini ameweza
 
Mkuu huyu kaka mkubwa JK hajui haya labda ungemuuliza habari za CUBA,TEXAS,SOUTH AFRICA hapo angekumwagia data
 
siku zake zisha isha huyo muda si mrefu tutakifunga kitabu chao na kukifungua kitabu kipya kabisa nacho niiiiiiiiiiii CDM
 
Ukiangalia picha hizo ni kichefuchefu, maana utakutana na mashangingi kibao ambayo hata pinda anajua kuwa ni gharama kubwa kuyaendesha, lakini wanayo tu na wanayaongeza zaidi sijui hawajui hali ilivyo vijijini. Na sasa hivi naangalia Lwaitama anafoka kujenga flyovers wakati watu hawana maji. umeme, vifaa shuleni hakuna, magonjwa ya hovyo tu yanachukua uhai wa wenzetu. Hakuna anayejali tunawakumbatia wezi, mafisadi tunawapa madaraka.AAAA acha kabisa!!!!!
 
Majibu yaliyo kwenye akili yake yatakuwa kama kauli hizi tunazo zifahamu vema....

.....'wasaidizi/washauri wake ndio wanaomwangusha'........
na.........

"....mimi sijui kwa nini Tanzania ni maskini..." (hapo akikusudia kukanusha uhusiano wa hizo picha na utawala wake); LAKINI asijue ya kuwa chini ya utawala wake wa wamu ya nne (kama ushahidi wa picha ulivyo) ni kuwa yeye alichafanya ni kuungozea huo maskini ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi!

Huku akitabasamu anamalizia kwa sentensi hii " ...nataka nikumbukwe kuwa niliwatoa Watanzania HAPA nikawafikisha HAPA". Maana yake ni hivi: maendeleo sifuri = umaskini zaidi.
 
Hii nchi ni yetu itajengwa na wenye moyo ila italiwa na wenye meno so whats ur part in this
 
Back
Top Bottom