Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,849
- 2,442
Naomba kufaam huyu mtu mwenye ngozi mithili ya minofu raini ya samaki,nazionaga tu picha zao hawa watu wa dizaini hii wapo kweli ama ndo picha za kubuni za hawa wazungu?,ama kuna jambo lililo nyuma ya pazia.