Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Wewe unawaza anguko mimi ajadili matokeo ni vitu viwili tofauti, hata hivyo anguko la NCCR halikutokana na matokeo review your history.
Walitoka kuwa na wabunge 19, tena wasomi nguli kabisa wanchii hii, na wote hawakurudishwa bungeni isipokuwa 1 tu unasema haikutokana na matokeo?
 
Walitoka kuwa na wabunge 19, tena wasomi nguli kabisa wanchii hii, na wote hawakurudishwa bungeni isipokuwa 1 tu unasema haikutokana na matokeo?
Hiyo haikuwa sababu ya kuanguka kwa NCCR bali chama kilipasuka makundi mawili ya Mrema na Marando, hiyo ndiyo source mengine matokeo.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Wewe lia tu. Lakini ujuwe kwenye mashindano kuna mshindi na mshindwa.
 
Kwa haya yanayotokea niwazi kwamba katiba mpya ya Warioba ndio imezikwa rasmi kichwa chini miguu juu.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Kituo gani hiki?
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Kawe:
Waliojiandikisha 412,180
Waliopiga kura 233,518
Kura Halali ni 231,186
Kura zilizoharibika 1653

Matokeo:
Ubunge:

UDP - 72
UMD-51
UPDP-44
TLP-67
SAU-53
NLP-43
NCCR-279
DEMOKRASIA MAKINI -39
DP-60
CUF-461
CHAUMA-426
CCK-1422
ACT-585
AFR-374
CHADEMA-32,524
CCM-194,833

Tupige hesabu vzur sasa..

Tukijumlisha hizo idadi ya kura za hao wabunge unapata jumla 231,333. Kwenye takwimu hii figure haipo

Tukichukua kura zilizoharibika tukijumlisha kura halali si tunatakiwa tupate jumla ya kura zote zilizopigwa mbona figure inakuja tofauti?

i.e

233,186 +1,653= 234,839
Hii figure pia haipo kwenye takwimu,au mie nakosea sehem ndugu zangu embu nisaidieni basi

Bado kura za alizopata raisi kwa kawe ni zaidi ya idadi ya waliopiga kura KAWE
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Kituo gani ambacho registered voters ni 125k, halafu wapiga kura ni 437k. In fact mimi nilikuwa disspointed kuwa turn out ilikuwa ndogo sana chini ya 50% lakini kama kuna kituo ambacho turn out ilikuwa 350% tuambie tukifahamu.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Ni aibu kubwa kwa taifa
 
Back
Top Bottom