Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,813
Jamaa alisafiri akampigia simu mke wake akamuuliza uko wapi!? Mwanamke akasema niko nyumbani.
Jamaa akamwambia kama uko nyumbani kweli kaa kitandani then mwambie dada wa kazi akupige picha then unitumie WhatsApp.
Mwanamke akafanya hivyo, ila alivyotuma tu na ndoa yao ikaishia hapo hapo.
Kwenye hii picha kuna shida gani ambayo ilipelekea hiyo ndoa kufa!?🤔
Jamaa akamwambia kama uko nyumbani kweli kaa kitandani then mwambie dada wa kazi akupige picha then unitumie WhatsApp.
Mwanamke akafanya hivyo, ila alivyotuma tu na ndoa yao ikaishia hapo hapo.
Kwenye hii picha kuna shida gani ambayo ilipelekea hiyo ndoa kufa!?🤔