Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,213
Asili ya wabantu wote ni Ethiopia kwahyo kama kabila yako inaita mtoto Mwana, wewe ni muethiopia twende kwetu tukafukuze vile vimasi vinavyokimbia riadha
Na nchi zote zinazoanza na herufi a au silabi yoyote inayoungana kwa kuwa na irabu a huishia na a kwa kutamka hata **** kuandika ni tofauti, mfano Russia, kasoro Afghanistan Pakistan, Brazil na ParaguayMabara ambayo hayaishii na "CA" ni Europe na Asia tu. Iweje jina LA Africa iweje lihusishwe na Uarabu/ Kiarabu? Je ni nani aliyetoa majina kwa haya mabara ya dunia?
Kuongopa ni kusema kitu ambacho hakipo: Unaposema mimi mwongo wakati hukuelewa nilichokisema wewe ndiyo unakuwa mwongo mkubwa na msingiziaji. Malcom Lumumba alisema maneno haya yafuatayo "Kama akipata wasaha atakuja kumalizia hii mada" Mtu mwelewa yoyote yule lazime atafahamu kwamba hii sentensi ni conditional "May or, may not be" Hivyo sidaiwi na mtu yoyote humu JF hata kwasababu sikuwa na wajibu wa kumalizia hii mada.Sema nini mkuu. Wewe ni mwongo sana, miaka 2 sasa unatuahidi kuendeleza hili bandiko
Nisamehe sana mkuu sikuwa na maana hiyo.Kuongopa ni kusema kitu ambacho hakipo: Unaposema mimi mwongo wakati hukuelewa nilichokisema wewe ndiyo unakuwa mwongo mkubwa na msingiziaji. Malcom Lumumba alisema maneno haya yafuatayo "Kama akipata wasaha atakuja kumalizia hii mada" Mtu mwelewa yoyote yule lazime atafahamu kwamba hii sentensi ni conditional "May or, may not be" Hivyo sidaiwi na mtu yoyote humu JF hata kwasababu sikuwa na wajibu wa kumalizia hii mada.
Nikimtizama luis Figo raul gonzalez na xavi hernandez napata hisia waarabu walichanganya rangi na kuikaa maeneo hayo.Wenda ukawa sahihi kwa asilimia kadhaa.
1: Hawa jamaa walitokea Africa kaskazini na kaskazini-Magharibi
2Pili hawa jamaa walikuwa ni waislamu maana ilikuwa ni kipindi cha Islamic calphate (Nadhani chini ya Caliph Umar)
3:Hwa jamaa walikuwa mchanganyiko wa Waarabu, Watu weusi wa kutoka kaskazini magharibi mwa afrika, ma machotara wa kiarabu na watu weusi. Na kabila la berbers ambao hawa jamaa wanasemekana pia wanauhusiano na watu weusi.
4:Wenda wazungu wanaficha ili isionekane wameshawahi kutawaliwa na Waafrika kwa muda mrefu kuliko wao kututawala sisi.
Labda kuna watu wanamaarifa zaidi wataweka sawa hizi records.
Asante mkuu
Link inazingua mbonaNamkubali zaidi Mutabaruka yupo deep zaidi kuhusu historia ya Afrika
Wala usijali mzee Da'Vinci, tuko pamoja!Nisamehe sana mkuu sikuwa na maana hiyo.
Very Sorry.
Kama Obama Mweusi basi sisi ni Mikaa kabisa.
-Rangi ya ngozi inaathirika kutokana na mazingira,Rangi nyeusi imetokana na athari za mionzi ya jua na pia kuna kitu kinaitwa Gene-Mutation(Kubadilika kwa genes) hii ni tofauti na evolution.
Ngozi Nyeusi imetokana na genemutation,Tumepigwa na Jua sana mpaka genes zimebadilika.
Kuna jamaa humu jf ila jina nimelisahau,alisema eti sisi binaadam tuliletwa dunia kwa matoleo,kama vile matoleo ya simu, yaani toleo la mwanzo ni binaadam muafrika lakini ikaonekana muafrika uwezo wake wa kufikiri (thinking capacity) ni mdogo 0G, hivyo basi ikabidi yaletwe matoleo mengine kama muarabu,mhindi,mchina,na mwisho likaletwa toleo la mzungu ambae uwezo wake wa kufikiri ni mkubwa 4G,je haya ni kweli?Naomba kupingana na wewe kidogo, sio ubishi Bali nipate elimu.
Tutasema sisi waafrika tumeathirika na hali ya jua sana , je wahindi wekundu wa Amazon ? Je wafilipino n'a wahindi wa kusini mwa India , kwa nini wasiwe kama Sisi ? Maana mazingira ni Yale yale , jua n'a ukanda wa kitropiki (ikweta).
Ahsante.
Kuna jamaa humu jf ila jina nimelisahau,alisema eti sisi binaadam tuliletwa dunia kwa matoleo,kama vile matoleo ya simu, yaani toleo la mwanzo ni binaadam muafrika lakini ikaonekana muafrika uwezo wake wa kufikiri (thinking capacity) ni mdogo 0G, hivyo basi ikabidi yaletwe matoleo mengine kama muarabu,mhindi,mchina,na mwisho likaletwa toleo la mzungu ambae uwezo wake wa kufikiri ni mkubwa 4G,je haya ni kweli?
Soma vizuri Genemutation,soma elimu ya evolution,Soma Adaption utajijibu hilo swali lako,pia nikisema sisi waafrica ni weusi mbona ukienda Tabora ,ukienda ujiji,ukienda dareda,ukienda singida,ukienda machame unakuta washahili weupe mzungu anasubiri?Naomba kupingana na wewe kidogo, sio ubishi Bali nipate elimu.
Tutasema sisi waafrika tumeathirika na hali ya jua sana , je wahindi wekundu wa Amazon ? Je wafilipino n'a wahindi wa kusini mwa India , kwa nini wasiwe kama Sisi ? Maana mazingira ni Yale yale , jua n'a ukanda wa kitropiki (ikweta).
Ahsante.
Africa my Africangoja Tusubiri, Ukiisha update thread. Mada nzuri mkuu.
Historia Ya Afrika inahujumiwa sana ili Mtu mweusi aendelee kuonekana Duni, asiye na chochote tena mjingo kabisa. Tena Miaka ya kati Ukaibuka ubaguzi wa Mtu mweusi kitu ambacho haukuwahi kuwepo huko nyuma maana Mtu mweusi alikuwa anaheshimika dunia nzima, . Elimu ya EVOLUTION nayo iliongeza kuonyesha ubaguzi zaidi maana ilionekana Mzungu yupo higher kwenye kuevolve na mtu mweusi ni Wa Chini yake katika kila nyanja.
YAFUATAYO NDIO NILIYOYABAINI KUHUSU MTU MWEUSI/MWAFRIKA BAADA YA KUPATA MUDA WA KUFUKUA HUKU NA KULE.
1:Siri ya Mafanikio ya Egypt miaka zaidi ya 2000BC ni Watu weusi. Wenyewe wanaiita GOLDEN AGE. Huko ndio mama wa Sheria,Hesabu,Agriculture Science, Medicine, watu weusi walitokea moyoni mwa afrika maeneo ya Nubia,kazkazini na magharibi mwa ziwa victoria na maeneo yote mashariki na magharibi mwa mto nile wakawa wanafuatia Maajabu ya mto naili na wengi wakitaka kujua unaishia wapi.
Walipofika Egypt wakaanza kuzaliana na wakazi wachache pale na kuanzisha mifumo ya kimaisha. Hao ndio baadae wakaanzisha DYNASTY au koo za kifalme. Uwezo wao ulikuwa mkubwa sana kuliko mtu yoyote duniani. Hapo ndio pakawa kisima cha maarifa ya dunia huku wakishindana kwa mbali na wenzao wa mesopotamia.
2: Hawa watu weusi wa egypt inasemekana ndio wa kwanza kutengeneza mashua kubwa sana walizotumia kuzunguka karibu dunia nzima. Hii inadhibitishwa na uwepo wa Vinyago, watu weusi sehemu nyingi duniani kabla hata ya utumwa. Hili liliwezekana kwa sababu huko misri ndiko jiografia ilichuka umashuhuri, Elimu za nyota, Latitude na longitude etc. Yote haya yalifanyika miaka mingi sana kabla ya bibi mzaa bibi yake yake columbus hajafikilia kuzaliwa. Ukienda jordan, india, south asia, hawii, ufilipino, South America, New guinea, australia tutawakuta watu weusi huko.
3: KONGO. Mzungu wa kwanza Kufika kutovuni mwa afrika kongo kwa kupitia mto congo kutokea baharini ni DIEGO CAO 1483. alikutana na civilization ya hali ya juu. Kwanza alikutana na Mji mkuu MBANZA ambao ulikuwa na watu 60,000 na umechangamka kuliko hata london iliyokuwa na wakazi 1500 Mwaka huo.
4: WAKATI FARAO KHUFU anajenga pyramid kubwa kwa uwezo wa hali ya juu ambao hadi kesho architects hawajamaliza kulistudy england walikuwa wanajenga viminara vyao vya mawe kuonyesha uduni wao wa kiakili enzi hizo.
5:Miaka ya 711AD Watu wa Afrika Kazkazini/Kazskazini magharibi baada ya kusilimu wengi wao wakiwaweusi,waarabu, na machotara, Chini ya kamanda Tariq ibn Ziyad waliivamia Hispania na Ureno na kuitawala kwa zaidi ya miaka 800. Watu hawa ambao ni mchanganyiko wa Sisi watu weusi na waarabu wachache ndio waliouingiza ustaarabu mwingi kwa mzungu ukiachilia wale wa mashariki (greece) Na Philosophy zao.
Hawa ndio wa kwanza kuanzisha vilimo vya Miwa, Makomamanga, mapera, Machungwa Pamba, Minazi ulaya magharibi kwa kuanzia Spain na Portugal.
Walianzisha Mji mzuri wa CORDOVA Huko spain na huo ndio uliokuwa mji wa kisasa kuliko london na paris ulikuwa hadi una barabara zenye pavements.
Taswira ya majengo ya kisasa ya yaliacha urithi wa kudumu kazi hii ilifanywa na watu kutoka afrika. Vilevile 1200BC kulikuwa na miji mizuri mno huko maurtania kwa sasa ni magofu.
6:Katika maandiko ya plato ya 370BC (Phaedrus) Anamuelezea mungu wa kimisri THEUTH kama mvumbuzi wa maandishi ambao ujuzi huo ulichukuliwa mojakwa moja na wanaphilosphia na waanzilishi wa philosophia huko Ugiriki maana walikuwa wanapiga kambi huko Misri kama eneo la kisima cha maarifa. Theuth alimwambia Mfalme wa misri enzi hizo Thamus "Nimegundua dawa ya Vyote Kumbukumbu na Hekima". Mfalme alibisha kidogo maana alihisi watu wataacha kuweka vitu kichwani na kugeukia maandishi kitu ambacho kingewafanya wawe wajinga zaidi. Baadae ilionekana ni lazima na maandishi yawepo ila kama kichocheo cha maarifa na hekima.
7: Kiongozi mkubwa wa kivita Ulaya na maarufu NAPOLEON BONAPARTE alituma SQUARD va kikosi chake anachokiaminia kiende Misri wakajifunze kwenye vitabu na malibrary makubwa huko alexandria wakajifunze na kupeleleza wachawi wa falao waliwezake kubadilisha fimbo zao kuwa nyoka? Walizama huko kwa muda wa kutosha. Walirudi ulaya na mavitabu na madocument mengi ya hatari. Kwa ufupi elimu nyingi ya kichawi, inayofanyika hata na mapastor feki miujiza duniani, Misingi mingi ya vyama vya siri kama Illuminati na Knights of Malta, Taasisi kubwa za kidini ulimwenguni ukizichambua ndani utakuta nyuma yake imejificha miungu na elimu za kimisri.
MKUU MALCOM LUMUMBA nimeokotaokota haya karibu pia kwa maoni maana inaonekana kuwa afrika ilionewa sana ili mzungu aonekane yuko vizuri.
beyonce anakuwa concidered black ,kagoogleKama Obama Mweusi basi sisi ni Mikaa kabisa.
-Rangi ya ngozi inaathirika kutokana na mazingira,Rangi nyeusi imetokana na athari za mionzi ya jua na pia kuna kitu kinaitwa Gene-Mutation(Kubadilika kwa genes) hii ni tofauti na evolution.
Ngozi Nyeusi imetokana na genemutation,Tumepigwa na Jua sana mpaka genes zimebadilika.
Mkuu umewaza nn? imenifikrisha sana hiiYote yatafahamika baada ya vita ya tatu ya dunia baina ya wazungu na waislamu, mengi yatafichuka
Karibu mkuu, kitambo sana hatujakuona.waamori si ndio wale watu wakubwa?