Mtu mweusi auawa Marekani na askari mweupe

Mtu mweusi auawa Marekani na askari mweupe

Na hao weusi waliokusanyika hapo wanashindwa kumkamata na kumuu mzungu japo mmoja kufidia.....

I HATE WHITE PEOPLE......
It is actually white people modernised you, such that today you can even maliciously type "I HATE WHITE PEOPLE"
 
Mazungu hovyo sana......


Na biblia yao unaisoma na kuiamini huku unamwabudu mzungu kama mungu


upload_2016-7-8_18-58-1.jpeg
 
Matukio yanoendelea marekani na nchi nyingine za kimagharibi kwa mauaji ya watu weusi inadhihirisha wazi kuwa jamii ya watu weusi imetengwa na kubaguliwa hata wanyama wanathaminiwa maana kuna haki zao huko ila weusi ni halali kuhukumiwa kifo na polisi pasipo kushtakiwa.

Obama was seen as the hope among the black, so many people vote in favor of him and his Democratic part in 2008. To elect African-American president was a huge and very inspiring event for the century. I thought Finally after 200+ years of discrimination, repression and torture. A black man become the most powerful on the planet.

African-American rejoiced when this man was elected- they had a true role model. well the president has disappointed on this front as well. The African-American community still are socially marginalized in all aspects of live, on the other hand there is a high rate of police brutality to the community, sasa imekuwa ni kawaida kwa polisi kuwapiga risasi na kuuwa watu weusi pasipo na kosa lolote wala wakiwa hawajajihami na silaha yoyote ile.

Uongozi wake umepitisha haki za wapenzi wa jinsia moja, na wamekuwa mstari wa mbele kulinda haki zao lakini disappointment ni kwa weusi ambao historia ya mateso na ubaguzi bado haijafutika miongoni mwa jamii ya watu weusi. Ameshindwa hata kutetea haki ya watu weusi,

Nimeona Hotuba yake kukemea kilichotokea Dallas, ameonyesha kuhuzunika kwa tukio la kuuawa kwa maofisa watano wa polisi, tukio lililotekelezwa na walenga shabaha(sniper) wawili kuliko damu iliyomwagika isiyo na hatia ya watu weusi. Wachambuzi wametoa fafanuzi zikielezea tukio la walenga shabaha wa Dallas kama tukio baya zaidi kutokea Marekani baada ya lile la 9/11. Kisa Maofisa wa polisi watano (5) wamepigwa risasi na walenga shabaha kwa kuwa Dallas inaminika kwa uwezo wa hali ya juu katika masuala ya usalama kwa idara ya polisi tangu tukio la kuuawa kwa kupigwa risasi kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo hayati John F. Kennedy (JFK)

Social Marginality kwa watu weusi huko marekani kumeifanya jamii hiyo kutumia uwezo na talanta zao kujiajiri kupitia michezo, burudani na ujasiriamali kwa kuwa social marginality iliwafanya kubaguliwa kwenye ajira rasmi na ndio maana asilimia kubwa utawakuta kwenye michezo na burudani na sio kwenye masuala ya sayansi, vyombo vya maamuzi nk.... na ndio maana mwaka 2008 ilikuwa ni historis kuchaguliwa kwa Obama kuwa Rais wa taifa hilo kuwa kabisa duniani na lenye ushawishi mkubwa na wengine wanapenda kuliita kiranja mkuu wa dunia.

Lakini naweza sema bado ndoto ya mwanaharakati Mpigania haki za watu weusi Bw. Martin Luther King Jr. "I have a Dream" bado haijatimia ama imefifia kutoka na manyanyaso yanayozidi kuikimba jamii ya watu weusi hususani kutoka kwa idara ya usalama iliyowekwa kisheria. Hii inamaanisha kuna ukandamizaji wa haki za weusi kisheria kwa kuwa hatuoni haki zao zikilindwa na maofisa wanonyanyasa watu weusi kwa kuwa hawashtakiwi wala kuhukumiwa.
 
Imefika wakati sasa wamarekani weusi nao waanze kujitoa muhanga, kwa kujilipua..hii ni makusudi kabisa, hivi yule mtoto aliyeshuhudia baba yake anapigwa risasi, akikua akivishwa mabomu kulipiza kisasi unafikiri atagoma..kumbe hawa wazungu ugaidi wanasababisha wenyewe..
 
Imefika wakati sasa wamarekani weusi nao waanze kujitoa muhanga, kwa kujilipua..hii ni makusudi kabisa, hivi yule mtoto aliyeshuhudia baba yake anapigwa risasi, akikua akivishwa mabomu kulipiza kisasi unafikiri atagoma..kumbe hawa wazungu ugaidi wanasababisha wenyewe..
Wamarekani hawana kaswende ya ubongo kama waarabu, yaani Mnyamwezi umbrain wash suicide mission akuachie wewe utamu wa New York City? Wewe ni kichaa siyo bure.
 
Imefika wakati sasa wamarekani weusi nao waanze kujitoa muhanga, kwa kujilipua..hii ni makusudi kabisa, hivi yule mtoto aliyeshuhudia baba yake anapigwa risasi, akikua akivishwa mabomu kulipiza kisasi unafikiri atagoma..kumbe hawa wazungu ugaidi wanasababisha wenyewe..

Kwa nini wasianze na kujitoa muhanga kwenye black on black crime?
 
inasikitisha sana, kauwawa mbele ya mwanae, mtoto huyo sijui ataishije! duh! dunia si mahali salama pa kuishi tena
 
dah! ngoja nimalize kuzuia mkutano wa tarehe 23 then niende huko marekani nikajiripue nife na hao polisi waliomuua huyo mweusi
 
Nimesikitika sana kumuona brother anavyojikatia roho mbele ya demu wake maskini anasikia anavyolalamika huku hawezi hata kufungua kinywa japo anaonekana kutaka kusema kitu na hayo maumivu anayoyasikia,amekuwa na mwisho mbaya na mchungu sana...dunia iseme kitu otherwise black tuamke kwa sauti moja na kwa pamoja kila penye ngozi ya kugeuzwa tuhakikishe tunaondoka na vichwa vyao(Mungu nisamehe natoa hukumu ilhali sina uwezo wakuhukumu),imeniumiza sana hii..50cent na mwenzie myweither ktk moja ya interview zao waliukana uAfrica kwamba hawawezi kufnana na Africa sasa wajiulize hiko kinachotokea huko ktk nafsi zao wanajisikiaje.?nakumbuka wakati nikikua tulikuwa tunawalenga mijusi na manati kisha kutazama anavyokata roho,dunia ya sasa whites people wanatufanyia weusi kile nachoona nikama michezo yakitoto tuamke sio wachina waarabu sijui wahindi wote kwa wanayotutendea wanaonyesha dhahiri sio wenzetu ktk mashua hii ya uhai tuliyopanda,wakitoboa kitundu na sie tutoboe chetu ili tuheshimiane.
 
Kwani hakuna Walatino wanaowaua weusi? Hakuna weusi wanaowaua weuso?

Hakuna wala vumbi wanaowaua wala vumbi?

**** kama jiwe wewe!
Hata uwatetee vipi ukae ukijua mzungu hakupendi kwake you're a last class person tunaishi nao tunawajua sana ni ajabu sana kwa black man kutetea muendelezo wa mauaji wanayofanyiwa watu weusi na polisi wa kizungu just because they are blacks you that's good brother??? Nilichogundua vijana wengi wa kibongo wakienda marekani wanaloose consciousness because of hype
 
Hata uwatetee vipi ukae ukijua mzungu hakupendi kwake you're a last class person tunaishi nao tunawajua sana ni ajabu sana kwa black man kutetea muendelezo wa mauaji wanayofanyiwa watu weusi na polisi wa kizungu just because they are blacks you that's good brother??? Nilichogundua vijana wengi wa kibongo wakienda marekani wanaloose consciousness because of hype

You can't even string together coherent sentences!

Bye Felicia!
 
Back
Top Bottom