kama unataka MD pitia diploma ya clinical medicine vingnevyo utaishia kuwa nesi kulala kwenye wodi maisha yako yoteeti mtu mwenye DDE PCB anaweza pata md au nursing degree? eti vandugu ushauri
eti mtu mwenye DDE PCB anaweza pata md au nursing degree? eti vandugu ushauri
Pitia tcu guidebookvyuo kama vipi
hakuna B+Diploma for sure degree competition kubwa utakutana na mtu zenye BB+B hatar
hahaha ni shidaHii ni kupatwa kwa PCB
Je mkuu kwa upande wa bachelor of arts with education vyuo kama UDSM,DUCE,UDOM na MUCE ufaulu ni DCENote: Kama umeomba vyuo vyenye competition kama muhas, cuhas, kcmc, ajuco na udsm. Hapo jua MD ilikupenda ila imependa wengine zaidi.
Ila kama umeomba vyuo kama kampala, kairuki na St Joseph, hapo anza kuandaa laptop na pamba kama dogo fulani alivyosema kwenye thread fulani hivi