tikitaka men
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 216
- 58
kairuki,kampala na st joseph pia hapati competition mwaka huu si mchezo
Hapati degree yoyote kimpango upi acha mchango mgando huoHupatiii degree yeyote hapa bongo
Kasome diploma then uombe degree hapo baadae...
Sawa mkuu ngoja tusubiri tarehe 12 tutajua kila kituapo bado, ndalichako kaharibu mfumo na sasa katulia cjui anampango gani
Mara zote huwa naamin jamii forum ni jukwaa la watu wenye hekima wenye nia ya kusaidiana/kusaidia watu kimawazo ili waweze fikia mafanikio wanayoyatarajia, lakin kuna watu hum wanaharibu maana harisi ya Great thinkers kutokana na majibu yao mabovu. Binafsi nakereka sana na watu wa tabia hizi, mfano mtu ana ufauru wa DDE advance anaomba ushauri halafu mwingine anamwambia hapati chuo chochote halafu mtu huyu nae anajiita msomi(mtu huyu kweli amesoma guide book?)!!!!!!!! Kuweni wastaarabu basi kwenye mambo ya msingi na kama hujui kaa kimya si lazima kila thread u-comment....🙁🙁🙁Hapati degree yoyote kimpango upi acha mchango mgando huo
Diploma for sure degree competition kubwa utakutana na mtu zenye BB+B hatar
Diploma kuna cut point ya 3.5 GPA sijui umemtahadhalisha?kama unataka MD pitia diploma ya clinical medicine vingnevyo utaishia kuwa nesi kulala kwenye wodi maisha yako yote
Kwa matokeo hayo nitakutafuta SUAeti mtu mwenye DDE PCB anaweza pata md au nursing degree? eti vandugu ushauri
Aombe mara ngapi wakati yupo anasubiri mauji tarehe 12,Kwa matokeo hayo nitakutafuta SUA
Chuo kikifungua na ukizembea utaangukia education hapo SUA
Bora uombe koz za maana
utapata mkuu fanya maandalizi tu ukikosa kcmc utaenda bugando ukikosa bugandoNa Mimi mwenye CCD vip apo ntapata kweli ..hasa kcmc wakuu
kama ujapata degree usitake wote wasiwe na degree kama weweHupatiii degree yeyote hapa bongo
Kasome diploma then uombe degree hapo baadae...
Mkuu CCD ni sawa na B+B+ B- za BRNNa Mimi mwenye CCD vip apo ntapata kweli ..hasa kcmc wakuu
Hivi unajibu kwa mazoea au nini? Kama B+ ni sawa na C, je A ya BRN ni sawa na nini?Mkuu CCD ni sawa na B+B+ B- za BRN
Lazima upate.
Binafsi naona amejibu vema.....Hivi unajibu kwa mazoea au nini? Kama B+ ni sawa na C, je A ya BRN ni sawa na nini?
Tcu wamesema B ya brn ni sawa na point 3 na
C ya 2016 ni sawa na point 3 pia.
Punguza ndoto za saa 7 mchana mkuu
Mbona mwenyewe unajichanganya mkuu! Kama B- ilikuwa kuanzia 54-64 na C mwaka huu umesema ni kuanzia 60-69. Sasa brn aliepata B- ya 60 sio sawa na C ya mwaka huu?Binafsi naona amejibu vema.....
Kwasababu B+ ni 65-74 na C kwa mwaka huu ni 60-69 so yupo sahihi in term of marks japo uzto zinatofautiana....na ukumbuke B- ilikuwa 54-64 while kwa mwaka huu hiyo kitu ni sawa na D....
So namuunga mkona aliyefananisha CCD na B+B+B-
Nijibu tena A ya brn ni sawa na ngapi mwaka 2016?Binafsi naona amejibu vema.....
Kwasababu B+ ni 65-74 na C kwa mwaka huu ni 60-69 so yupo sahihi in term of marks japo uzto zinatofautiana....na ukumbuke B- ilikuwa 54-64 while kwa mwaka huu hiyo kitu ni sawa na D....
So namuunga mkona aliyefananisha CCD na B+B+B-
Jomba wigo wa A ya BRN ulikuwa unaruhusu hata baathi ya watu wenye B mwaka huu wawe na A....by the way ni mitazamo tu na mabadiliko yalishafanyikaNijibu tena A ya brn ni sawa na ngapi mwaka 2016?
Kwa hiyo hakuna Brn aliepata exactly A ya 80-100?.
Tcu ameshajibu maswali kama haya mkuu
Mbona mwenyewe unajichanganya mkuu! Kama B- ilikuwa kuanzia 54-64 na C mwaka huu umesema ni kuanzia 60-69. Sasa brn aliepata B- ya 60 sio sawa na C ya mwaka huu?
Sikatai kuwa maksi ni tofauti ila necta walishapeleka uzito wa maksi tcu.
Sasa CCD 2016 ni sawa na BBC 2015. According to guidebook 2016/2017