sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,634
- 11,691
Habari ya uongo, ina maana we ujue alikuwa na mafua makali na kuhema kwa shida walio nae wasigundue hilo. Kwa hali ya sasa ukiwa kwenye mkusanyiko na ukaonyesha hali hiyo watu lazima wapate taharuki. Sio habari ya kweli. Isitoshe kuna watu aliokaa nao karibu. Wasingekubali maana wanajua itawaathiri hata wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
