Mtu katili zaidi duniani

Mtu katili zaidi duniani

Status
Not open for further replies.
Kuropoka ni tusi! Sijalipenda. Sijakutukana mimi! Kwa nini umenitukana. Basi ni hivi: Mama yako na baba yako ndio waliropoka kukuzaa wewe

Bado unazidi kuropoka tu, kweli wewe umevurugwa!
 
amesoma na sasa anatumia elimu kwenye ufalme wa ibirisi..this is vanity/////

Psalms 127,,
Unless the LORD builds the house, the builders labor in vain. Unless the LORD ...
 
View attachment 231799

Jina lake halisi ni Mohamed Emwazi ni kijana wa umri 26 ni raia wa uwingereza aliekulia kuwait na kupata elimu yake ya shahada ya kompyuta uko kabla ya kurudi Uingereza, kwa mujibu wa majarida mbali mbali yamemtaja mtu huyu ndio katili zaidi duniani, akijulikana kama Jihad John. Ndani ya kundi la IS amekuwa akitekeleza mauaji kwa kuwakata vichwa mateka wa mataifa mabalimbali, hawa ni miongoni mwa mateka aliowakata vichwa kwa mkono wake

View attachment 231800

Akiwa huko alipopata elimu yake Kuwait, alikuwa mtoto mwenye nidhamu, mpole na uwezo wa akili sana darasani, kwa mujibu wa walimu na rafiki yake (class mate) ambae hakutaka jina lake litajwe.

View attachment 231801

Mama yake alipohojiwa kutoka nyumbani kwake alidai mtoto wake mara ya mwisho alimpigia simu 2013 kwamba alielekea Syria kujiunga na mashirika ya kujitolea ya kibinadamu.

View attachment 231802

Haya ni makazi ya familia ya Mohamedi Emwazi huko Uingereza

Mama yake aliongeza kuwa aligundua mwanae kajiunga na kundi hilo hatari duniani pale alipoigundua sauti yake katika video ya mateka iliotolewa na kundi hilo mwanzoni mwa mwaka 2014, mtu huyu anaetafutwa na mataifa makubwa hapa duniani, Marekani imetoa dau la US Dollar milioni mia 700 kwa ataefanikisha kukamwatwa kwa IS executioner huyu, pia inasemekana kwamba mwishoni mwa mwaka 2009 aliwahi kutembelea nchi mojawapo ya Afrika Mashariki kwa mujibu wa data za kiusalama

View attachment 231805

View attachment 231806
Katili huyu hajaoa, pia si muumini wa dini ya Uislam ingawa hupendelea kuvaa mavazi yake

View attachment 231807
Kwa munibu wa mama yake alipohojiwa kutoka makazi yake

Mama yako kauliwa na huyo jamaa. !?
Mbona huoni ukatili wa ndugu zako kuwaua Albino! ?
 
Nimeangalia taarifa ya habari ya BBC usiku huu, kumbe Mohammed Emwanzi anaesemekana kua ndiye mchinja vichwa vya watu kupitia kikundi cha kigaidi cha ISS. Mwaka 2006 alikuja inchini na kukamatwa na maofisa usalama airport kwa kosa la kuingia nchini akiwa amelewa na kuwatukana matusi wafanyakazi wa uwanja wa ndege hivyo kupelekea kusitishwa kwa ziara yake na kurudishwa ulikotoka. Wakati huo huo Waziri Chikawe amekanusha taarifa za emwanzi, kua aliteswa na maofisa usalama wa Tanzania kwa maagizo ya idara ya usalama ya Uingereza.

Binafsi nimeshituka kidogo na kujiuliza yafuatayo.
1. Gaidi huyu kama asingelikua amelewa ingelikuaje, angeingia na kuishi bila shida or?
2.Alikuja nchini kufanya nini....................?
3.Nan alikua mwenyeji wake............................?
4.Nchi imechukua tahadhari gan mpaka sasa baada ya kungundua ni mtu hatari.?
5.Tuna magaidi wa kimataifa wangapi tunaishi nao kama kipimo ni ulevi na matusi airport?

Nawaza badoooo
 
Lakini mwisho wake upo tu! MUNGU yupo,walikuwepo akina Adolf Hiltler,wako wapi?,walikuwepo akina Saddam Hussein,wako wapi?,walikuwepo akina Idd Amini,wako wapi?,walikuwepo akina Osama bin Laden,wako wapi?YOTE YATAPITA.

Hata goerge bush ipo siku yake km alivyoondoka yule sharon
 
Watakua wengi tu, siku iz mara utasikia, amboni, moshi, ntwara-na tutasikia mengi maana kuna wenzetu wanasikia raha kuchinja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom