Sir Good
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 1,031
- 412
Kuropoka ni tusi! Sijalipenda. Sijakutukana mimi! Kwa nini umenitukana. Basi ni hivi: Mama yako na baba yako ndio waliropoka kukuzaa wewe
Bado unazidi kuropoka tu, kweli wewe umevurugwa!
Kuropoka ni tusi! Sijalipenda. Sijakutukana mimi! Kwa nini umenitukana. Basi ni hivi: Mama yako na baba yako ndio waliropoka kukuzaa wewe
Unaweza kuogopa hata kuchangia jamaa nilirushiwa moja ya video yake da sijaweza kuimaliza hata nusu
Kuropoka ni tusi! Sijalipenda. Sijakutukana mimi! Kwa nini umenitukana. Basi ni hivi: Mama yako na baba yako ndio waliropoka kukuzaa wewe
View attachment 231799
Jina lake halisi ni Mohamed Emwazi ni kijana wa umri 26 ni raia wa uwingereza aliekulia kuwait na kupata elimu yake ya shahada ya kompyuta uko kabla ya kurudi Uingereza, kwa mujibu wa majarida mbali mbali yamemtaja mtu huyu ndio katili zaidi duniani, akijulikana kama Jihad John. Ndani ya kundi la IS amekuwa akitekeleza mauaji kwa kuwakata vichwa mateka wa mataifa mabalimbali, hawa ni miongoni mwa mateka aliowakata vichwa kwa mkono wake
View attachment 231800
Akiwa huko alipopata elimu yake Kuwait, alikuwa mtoto mwenye nidhamu, mpole na uwezo wa akili sana darasani, kwa mujibu wa walimu na rafiki yake (class mate) ambae hakutaka jina lake litajwe.
View attachment 231801
Mama yake alipohojiwa kutoka nyumbani kwake alidai mtoto wake mara ya mwisho alimpigia simu 2013 kwamba alielekea Syria kujiunga na mashirika ya kujitolea ya kibinadamu.
View attachment 231802
Haya ni makazi ya familia ya Mohamedi Emwazi huko Uingereza
Mama yake aliongeza kuwa aligundua mwanae kajiunga na kundi hilo hatari duniani pale alipoigundua sauti yake katika video ya mateka iliotolewa na kundi hilo mwanzoni mwa mwaka 2014, mtu huyu anaetafutwa na mataifa makubwa hapa duniani, Marekani imetoa dau la US Dollar milioni mia 700 kwa ataefanikisha kukamwatwa kwa IS executioner huyu, pia inasemekana kwamba mwishoni mwa mwaka 2009 aliwahi kutembelea nchi mojawapo ya Afrika Mashariki kwa mujibu wa data za kiusalama
View attachment 231805
View attachment 231806
Katili huyu hajaoa, pia si muumini wa dini ya Uislam ingawa hupendelea kuvaa mavazi yake
View attachment 231807
Kwa munibu wa mama yake alipohojiwa kutoka makazi yake
Natamani wangemkamata akiwa hai ili aseme hasa huwa anawaza nini anapomfanyia ukatili huo binadamu mwenzie?
Lakini mwisho wake upo tu! MUNGU yupo,walikuwepo akina Adolf Hiltler,wako wapi?,walikuwepo akina Saddam Hussein,wako wapi?,walikuwepo akina Idd Amini,wako wapi?,walikuwepo akina Osama bin Laden,wako wapi?YOTE YATAPITA.
hata goerge bush ipo siku yake km alivyoondoka yule sharon
Mama yako kauliwa na huyo jamaa. !?
Mbona huoni ukatili wa ndugu zako kuwaua Albino! ?