CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Ahera ipi hyo ndugu , ufafanuz
Ahera ni moja tu na imesimuliwa katika vitabu vya dini, hasa kitabu kimoja kimesisitiza AHERA kwa kufia dini unakwenda ahera
Ahera ipi hyo ndugu , ufafanuz
mkuu unapajua ahera ni wapi? au unaropoka tu!
Ahera ni moja tu na imesimuliwa katika vitabu vya dini, hasa kitabu kimoja kimesisitiza AHERA kwa kufia dini unakwenda ahera
Anachofanya huyo ndio kufia dini huko? Hao watu aliowachinja wamemkosea nini ? Hyo Dini anayoipigania inapigana na nani au kuna nani anaeipinga?
Umesema vizuri. Wanaamini hivyo.
Dini ya amani duniani
Ana asili ya kuwait ila amekulia Uengereza
watu ni wapumbavu eti sio muislamu ila anapenda kuvaa madera huko kuwait alizaliwa kwenye familia ya wayahudi au na iweje awachinje makafiri na wasiokuwa waislamu wakati yeye mwenyewe sio muislamu???
Ahera ni moja tu na imesimuliwa katika vitabu vya dini, hasa kitabu kimoja kimesisitiza AHERA kwa kufia dini unakwenda ahera
Umesoma mada?
watu ni wapumbavu eti sio muislamu ila anapenda kuvaa madera huko kuwait alizaliwa kwenye familia ya wayahudi au na iweje awachinje makafiri na wasiokuwa waislamu wakati yeye mwenyewe sio muislamu???
Hujajenga hoja, matusi hayajengi hoja! Nadhani na wewe ni wa kitabu kile kile cha Ahera, ungelikuwa wa kile kingine cha dunia na ahera ungelijenga hoja maana ndio utamaduni wao wa kujenga hoja kama ninavyojenga hoja. Usiku mwemaakili za KG 1
Dini ya amani duniani