Furaha Fedson
Member
- Mar 27, 2011
- 43
- 4
Jamani wana JF, nina boss wangu mmoja simuelewi anamatatizo au ndo uongozi ulivyo? huyu mheshimiwa anatabia zifuatazo: - hana siri kabisa, likijiri jambo ofsini kwake lazima kila mtu ajue - kazi yake ni kufukuzisha watumishi na kuajiri maswaiba - kama mtumishi anamatatizo ya kifamilia, mfano migogoro ya kifamilia, akijua tu basi linahamia ofisini kwake - hufokea watumishi wenzake bila aibu, akiambiwa si vema afanyavyo anadai eti anasauti ya uinjilisti! tumzoee JE? MTU KAMA HUYU ANAFAA KUWA KIONGOZI?