kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Wakuu nimejiuliza suala hilo sikupata jawabu.
Je, mtu akiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya au mkurugenzi kutoka kada za afya, ualimu au majeshini, siku akitemwa wakati wa uteuzi mpya, huwa anarudia kazi yake?
Kama harudii kazi yake je ni kwa nini? Au ni kama mtu aliyefukuzwa kazi?
Je, mtu akiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya au mkurugenzi kutoka kada za afya, ualimu au majeshini, siku akitemwa wakati wa uteuzi mpya, huwa anarudia kazi yake?
Kama harudii kazi yake je ni kwa nini? Au ni kama mtu aliyefukuzwa kazi?