Mtu gani maarufu amekublock?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Kwenye mitandao kuna muda tunakoseana na kufikia kupigana Block au kuwa-Ignored.

Ni mtu gani maarufu amekublock kwenye Mtandao wa kijamii, na sababu iliyopelekea akublock ni nini?

Mimi binafsi nilipigwa Block na MangeKimambi baada ya kumkosoa alipokuwa ana-publish picha za Profesa Jay akiwa ICU.

Vipi wewe, uliblockiwa na mtu gani maarufu?
 
Mtoa roho- nili kuwa na ile hali ya kufa, aka nipiga block
FB_IMG_17053121368698610.jpg
 
Kwenye mitandao kuna muda tunakoseana na kufikia kupigana Block au kuwa-Ignored.

Ni mtu gani maarufu amekublock kwenye Mtandao wa kijamii, na sababu iliyopelekea akublock ni nini?

Mimi binafsi nilipigwa Block na MangeKimambi baada ya kumkosoa alipokuwa ana-publish picha za Profesa Jay akiwa ICU.

Vipi wewe, uliblockiwa na mtu gani maarufu?
Dah, nyuzi za siku hizi ...
 
Haya mambo ya Instagram jamani, nimetoka kujibu swali hilihili kwa Juma Lokole naingia huku nalikuta tena
 
Lemutuz (RIP) , Mange kimambi na Vannesa mdee. Vannesa sijui kwanini ameniblock maana sijawahi mfollow, alivyoolewa na Rotim nikasema niwaangalie walivyo moto nikakuta block… enhe sijui.
 
Back
Top Bottom