Mtu aliyeajiriwa anatakiwa kuwa na shilingi ngapi kwenye account yake kama akiba?

Mshahara wowote hata ungekuwa ni milioni hamsini kwa mwezi BADO HAUTOSHI. Amini hivyo. !!! Mshahara unavyozidi na matumizi yanazidi. Kwa hiyo, hakikisha iwe jua iwe mvua unaweka akiba si chini ya 20% ya mshahara wako. Unafanya hivi:-Ukiwa na mshahara wa sh 200,000 jihesabie kwamba mshahara wako ni 140,000 tu ! Utakuwa umetoa zaka (10%) ya sh 20,000, na 20% ingine (yaani 40,000) utakuwa umeweka akiba. Tatizo ni kule kujihesabia mshahara wako ni 200,000. Ukiwa na mshahara wa 1,000,000 utaenda kwa asilimia hivyo hivyo. Yaani utatoa zaka 100,000, na utaweka akiba 200,000. Kwa hivyo utajihesabia mshahara wako ni 700,000 na sio milioni moja. Ukifanya hivyo unaweza kuweka akiba kwa kiwango chochote cha mshahara ulichonacho.

Kutoa zaka10% kwa Mungu ni MUHIMU SANA. Utoaji huo unakupa nidhamu ya kiroho (na hata ya kifedha).
 
Mshahara wowote hata ungekuwa ni milioni hamsini kwa mwezi BADO HAUTOSHI. Amini hivyo. !!! Mshahara unavyozidi na matumizi yanazidi. Kwa hiyo, hakikisha iwe jua iwe mvua unaweka akiba si chini ya 20% ya mshahara wako. Unafanya hivi:-Ukiwa na mshahara wa sh 200,000 jihesabie kwamba mshahara wako ni 140,000 tu ! Utakuwa umetoa zaka (10%) ya sh 20,000, na 20% ingine (yaani 40,000) utakuwa umeweka akiba. Tatizo ni kule kujihesabia mshahara wako ni 200,000. Ukiwa na mshahara wa 1,000,000 utaenda kwa asilimia hivyo hivyo. Yaani utatoa zaka 100,000, na utaweka akiba 200,000. Kwa hivyo utajihesabia mshahara wako ni 700,000 na sio milioni moja. Ukifanya hivyo unaweza kuweka akiba kwa kiwango chochote cha mshahara ulichonacho.

Kutoa zaka10% kwa Mungu ni MUHIMU SANA. Utoaji huo unakupa nidhamu ya kiroho (na hata ya kifedha).
nimekuelewa mkuu
 
Kanuni ya wastani kabisa ni kuwa na kiasi kitakachoweza kukukimu kwa mahitaji yako muhimu kama chakula, malazi, mavazi, afya etc bila mshahara kwa kipindi cha miezi sita.

Kwa hiyo inategemea sana na matumizi yako.
bongo siku 10 ni nyingi sana mshahara kusoma kwenye a/c baada ya kutoka
 
Weka malengo kwanza, unaweka akiba kwa ajili gani..ukiisha yaweka utajua unataka kiasi gani kwa muda gani.

Kama unasave kwa ajili ya matukio basi jiwekee akiba kubwa kadri unavyoweza.
 
Think of it this way, kama gharama zako za maisha ni laki 1 kwa mwezi yaani hapo unapata msosi, kodi, matibabu, mafuta na starehe zako zote yaani hyo laki inakutosha kuishi comfortable kwa huo mwezi, basi unatakiwa kuwa na 1.2 kama akiba ili hata ukiwa huna kipato kabisa bado utaendelea kuishi comfortably bila mtu kugundua. Tunaamini ndani ya mwaka utakua umeshajisort.
 
Mtumishi uwe na akiba awamu ya tano????? 3yrs bila increment wala kupanda madaraja
 
Mimi ili niwe mbabe na mwenye jeuri hata kuwaletea jeuri bank wanapoleta shobo huwa na save 50% ya mshahara wangu hivyo nnakuwa na big save than use , hiyo inanipa jeuri ya kuwa na akiba ya miezi hata sita hata kama mshahara hautakuja ,OVER
 
Back
Top Bottom