Mwili- Kaburini
Roho- Mbinguni/ motoni
Nafsi inaendaga Wapi? Maana mwanadamu ana nafsi, Roho na mwili
Mkuu mwili ni kama nyumba ambamo ndani yake anakaa mtu,mtu kwa maana ya nafsi+roho,huyu ndiyo mtu halisi in spiritual realm.Mwili tulio nao huu ni wa hapa duniani,ndiyo maana ndini kubwa ukifa watakwambia wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi.
Kama ni msomaji wa Bilia,imeongelea watakatifu kuvikwa miili mipya.Nirudi kwenye swali lako kuhusu nafsi.
Nafsi na Roho huwezi kuzitenganisha,kwa lugha nyepezi assume nafsi ni kama brain/decision making part ya Roho.
Nafsi inahusika na mambo yote ya reasoning na kufanya maamuzi,hivyo mtu akifa nfasi yake ambayo haitenganishwi na Roho hiyo huenda mbele za Mungu kuhukumiwa.Kwa hiyo kama mtu hakuishi maisha matakatifu atapelekwa Jehanamu,wakati ukisubiliwa ule mwisho ambapo mauti,shetani na kila waovu watatupwa kwenye ziwa la moto ambalo ni mauti ya pili.
Kama mtu akifa na aliishi maisha matakatifu atapelekwa Paradiso ambapo ni sehemu ya kungojea kuingia mbinguni.Kwa hiyo ilipo nafsi na Roho inakuwepo,kwa watakatifu kama unafuatilia Roho na nafsi zao ni zilezile wakiwa Paradiso ila wana miili mipya,miili isiyochoka na kunuka kama hii tuliyo nayo hapa duniani.
Kwa hiyo ili kuiponya nafsi hakuna option zaidi ya kumpokea Yesu kama Bwana na mwokozi waetu.Kwa hiyo mtu akifa nafsi na Roho huenda mbele za Mungu kuhukumiwa.
Regards
Aqua