Mtu akifa anaenda wapi?

unazungumziaje waumini kuwa waovu na wasio waumini kutokua waovu -- unaonaje mkuu?
Huna sababu ya kuwa na wivu nao.!

Mtu anaposhikamana na imani maana yake anahitaji kulishwa kitu, si mbaya

Wewe usie na sababu ya kushikamana na hivyo, ndio tuendeleze tulipoishia, shida nini.?
 
Vita vipo ,mauaji kila kona , ukatili bado umejaa mpaka makanisani, ufisadi wa kutisha , na wanaofanya ndio wana hizo hofu za jehanam ,je imesaidia kitu gani ? Nchi ambazo hawaamni hizi mambo kwa kiasi kikubwa kuna utulivu mkubwa, unajua hilo?
Nafahamu kwa kiasi chake ila ningependa unifahamishe siri yao
 
Nafahamu kwa kiasi chake ila ningependa unifahamishe siri yao
Ukishakua nnje ya imani una kuwa na fikra huru , imani nikama gereza la matumizi sahihi ya akili ,hivyo unaweza fanya upumbavu wowote for the sake of so called imani.
 
Ongezeko la maji ya bahari ndio uelekeo wa kupotea ufu wa mtu, na kuendelea ktk maisha mapya! Mimi mwenyewe sijui lkn kwa Imani ya budha
 
Ukishakua nnje ya imani una kuwa na fikra huru , imani nikama gereza la matumizi sahihi ya akili ,hivyo unaweza fanya upumbavu wowote for the sake of so called imani.
Haya tutoke gerezani, na upuuzi wote

Tuwe huru kwa Dunia inayozalisha wajinga kila kukicha

Unadhani wakiachwa jinsi walivyo kwa dunia hii matendo yenye ukomo, lipi litakuwa na manuufaa.!?

Tumfanye binadamu awe huru ashibe aendekeze nyege, Baada ya muda anapambana na ongezeko lake na kuona hilo ni tatizo wakati Ufahamu wake unahusika zaidi.!

Kumfanya binadamu kuwa na hofu kwa asicho kifahamu Kuna faida zaidi kuliko maisha yake halisi
 
Ni sawa vitabu vimeandika kweli. Maneno ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Ila nakushauri pia usome na Quran yenyewe imeelezea kwa ufasaha sana safari ya roho na maisha baada ya kufa.
Quran imeelezea hata pale mtu anapokufa anaona nini na anapokuwa kaburini anakutana na nini.

Haya maisha baada ya kifo ni maisha ambayo sisi wanaadamu hatuyazingatii kabisa. Hatuyapi umuhimu wowote. Lakini kwa hakika kuna majuto makubwa sana baada ya kifo kwani mtu atayaona yale alyoyafanya hapa duniani na malipo yake ataonyeshwa.

Tujitahidi kutenda mema kwani hatujui siku wala saa
 
usiumize kichwa ni kama ukifuta picha kwenye simu inakwenda wapi
 
Sheria za nchi mbona zipo? Mtu akishakua na fikra huru hata uwezo wa kujitambua unaongezeka , vipi kuhusu wanatishiwa jehanam ila anajitoa mhanga ili akifa apate peponi?
 
Sheria za nchi mbona zipo? Mtu akishakua na fikra huru hata uwezo wa kujitambua unaongezeka , vipi kuhusu wanatishiwa jehanam ila anajitoa mhanga ili akifa apate peponi?
Kuishi bila Ufahamu ni hatari zaidi ya bomu la muhanga

Mtu akizaliwa bila Ufahamu na chambo cha maisha kikiwa pesa

Anaweza kufanya lolote zaidi ya bomu la muhanga

Kuna watu wanajilipua kwa viuno usiku kucha kutafuta salali na jamii haioni kama ni bomu.!
 
hiki unachosema sio kweli mkuu
 
Noma sana , ngoja nikuulize swali , mtu anaetishiwa mbinguni na jehanam na akafanya matendo mema na mtu anaefanya matendo mema bila ahadi wala vitisho ,yupo yupo real zaidi?
 
Reactions: Lax
Nifahamishe

we fungua macho tu --- tathmini kwa makini hiyo model uliyoitaja kama imesaidia lolote , case study rahisi ya wewe kutumia "hapo middle east"
 
Noma sana , ngoja nikuulize swali , mtu anaetishiwa mbinguni na jehanam na akafanya matendo mema na mtu anaefanya matendo mema bila ahadi wala vitisho ,yupo yupo real zaidi?
Hii nimeipenda, Acha ni kujibu kwa maoni yangu usinihukumu

Kwa ninachofahamu dunia haijawahi kuwa sehemu salama kwa waja wapya.!

Hata ukizaliwa eneo lenye makandokando kama TZ bado Kuna namna ya kuwa kitu

Kuwa real ni namna ya kukubali kuchangamana na mazingira husika na kubaki jinsi ulivyo

Kuishi kwa hofu ya kuambiwa au ya kujitengenezea mwenyewe sio kitu kikubwa

Lakini kwa namna gani tutaamua jinsi tulivyo inatuhusu sisi wenyewe zaidi

Tukiamua tujilee kwa kuwa fanya watu wahofu katiba na gerezani Kuwe ndio motoni ni uamuzi wetu, kuliko moto wa jahanam

Lakini suala la msingi kwanini inatupelekea kudhani bila hofu mtu hawezi ishi.!?

Maana hata kama umezaliwa mbumbu Kuna kitu utahisi hakiko sawa kwa wanadamu maana you can feel kuna error kwenye matokeo ya uwepo wa binadamu before udhihiriko.!

Na ndio hapo nadhani walipoanzia wahenga kutafuta sababu ya uwepo wetu
 
Safi, binafsi naona sababu bado haijapatikana na huenda mambo yapo hivi hivi tu bila sababu yoyote ,pia huenda hakuna mwanzo wala mwisho , maisha yapo kwenye cycle tu🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…