"Na nlikufanyieni kila mnalohitaji katika dunia hii. Na kama mkiwa shukuru, nitaongeza neema yangu kwenu; lakini mkiendelea kukufuru, basi hakika adhabu yangu ni kali."
Nakazia, jinsi mnyama akifa akazikwa ardhini na kuoza ndivyo ilivyo pia kwa binadam sema ni vile hizi imani zinatuaminisha vitu ambavyo atuna ushahidi navyo.
Ukweli mtupu huu mkuu.
Binadamu Akifa ni sawa na amekufa mbuzi tu, sema sisi kifo tumekiongezea sifuri tumekipatia uzito🤣
Ila ukweli mchungu ukifa unaenda kuoza na kurutubisha ardhi