Mtu akifa anaenda wapi?

Nakazia, jinsi mnyama akifa akazikwa ardhini na kuoza ndivyo ilivyo pia kwa binadam sema ni vile hizi imani zinatuaminisha vitu ambavyo atuna ushahidi navyo.
Ukweli mtupu huu mkuu.
Binadamu Akifa ni sawa na amekufa mbuzi tu, sema sisi kifo tumekiongezea sifuri tumekipatia uzito🤣
Ila ukweli mchungu ukifa unaenda kuoza na kurutubisha ardhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…