Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,923
- 13,400
Ushauri wangu muache hivyo hivyo Mkuu, unaweza mfanya akakuita Baba alafu akawachukia binamu zake au akawaona kama sio kundi moja na yeye akawatenga.
Ni swala la muda tu akikuwa ataona majina yake mwishowe atajua ulikua utoto tu usio na madhara sana.
Ni swala la muda tu akikuwa ataona majina yake mwishowe atajua ulikua utoto tu usio na madhara sana.