Hahahaaa wana JF mmepinda nyie...i think ni aina ya fungus nenda hospital,mie nilishawahi kupoteza nywele sema ilikuwa kidogo sio sana,ugonjwa unaitwa alopecia i think,mie sio mtaalam watakuja madaktari kukusaidia
naona ulini "like" halafu umeni "dislike" tena. uzi wako sijauelewa hivyo urudie na uniweke sawa dokta " i think " sawa?
Sasa nitafanyaje ziote. Niliamua kumnyoa upara lakini nashangaa zilivyoota zimeota kama 20% asilimia nyingine hazioti. Nikiziangalia napata hasira mnoHao ni wachawi ila hawatamdhuru kwa lolote wanaleta hofu tu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Duh!!!!!!!!!!!!!Inabidi Umnyoe Hizo Zilizobaki Ili Wakija Tena WasizikuteLa Sivyo Watamnyoa Tena
Inabidi Umnyoe Hizo Zilizobaki Ili Wakija Tena WasizikuteLa Sivyo Watamnyoa Tena
cha kufanya rafiki njoo kwenye ibada eagt city centre kwa mchungaji katunzi viwanja vya sabasaba kuanzia saa kumi kila jumatano hadi jumamosi jumapili ni ibada saa tatu asubuhi nakwambia nywele zitaota huo ni uchawi nimeona mtu akifunguliwa wrngi tu wachawi hupenda watoto sana ukichelewa utajuta nakushauri huyu mchungaji anaombea buree na usikosee ukaenda kwa mitume au manabii utajuta mtafute mchungaji katunzi hakika huyo mtoto atapona sabasaba maonyesho karibu na uwanja wa taifa panda magari ya kwa azizally.ni datressalaam
asante dokta " i think ".