wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
komesha yao tafuta mifupa ya nguruwe uweke humo....hawatarudi hao
Nani ? kakudanganya.
komesha yao tafuta mifupa ya nguruwe uweke humo....hawatarudi hao
Hiyo haina shida,kwan umedaiwa pesa ya kunyolea???Jamani wadau naomba naomba ushauri/msaada. Nimeamka asubuhi wiki iliyopita nikakuta mtoto wangu amenyolewa nyele mpaka leo upara unaendelea kuongezeka sijui nifanyeje.
Naomba mawazo kwa wale ambao yashawakuta
Ushauri wako hauna tofauti na wamganga wa kienyeyi, shindwa kwa jina la yesu.