Mtoto wa x wako

Mtoto wa x wako

Kwa mfano una mji mwingine,huyo utampeleka wapi?
Kama mji ni wako na mtoto ni wako kuna shida gani kwan hapo??!kama unahofia mkeo wa sasa nae ni wako pia sasa unashindwa vp kumuelewesha akakuelewa.

Guys moja ya vitu vya msingi vinavyoweza kukufanya uwe na aman kwenye mahusiano mapya basi ni kuweka bayana kuhus back ground za past relation ambazo una uhakika zitaku hunt down ur whole life na huwez kuzificha no matter what.
Unawezaje kutoweka bayana kama una mtoto tayar??
 
Umemkuta mazingira hayo, wewe baba yake huwa unafanya nini kuitengeneza Afya na furaha ya mwanao!?
 
Unajisikiaje pale unapoenda kumtembelea mtoto wako uliyezaa na x na kutokana na sababu ambazo hazikuweza kuzuilika ukajikuta hauwezi kuishi na mzazi wake pamoja na mtoto. Unamkuta yuko mchafu,kupata mahitaji yake muhimu ni shida au wakati mwingine anashindia mlo mmoja, na kwa bahati mbaya mtoto amefanana na wewe.Je utachukua hatua gani?
Toa matumizi
 
Back
Top Bottom