Mtoto wa x wako

Mtoto wa x wako

Mpeleke mtoto shule mkuu!
Hapa kuna kitu nimejifunza,kuna baadhi ya shule nilikuwa natembelea unakuta mtoto wa miaka 2 yuko bweni.....inawezekana kuwepo kule bweni kumesababisha na mazingira ya namna hii au mazingira mengine.
 
Hapa kuna kitu nimejifunza,kuna baadhi ya shule nilikuwa natembelea unakuta mtoto wa miaka 2 yuko bweni.....inawezekana kuwepo kule bweni kumesababisha na mazingira ya namna hii au mazingira mengine.
Ndo hivyo mkuu
 
Wazo zuri,na inapotokea mama wa mtoto ana mji mwingine na akawa amepunguza mapenzi kwa mtoto huyo...katika hali hiyo utatatuaje hiyo changamoto?
Kwanini apunguze mapenzi kwa mwanae

Huoni uliepunguza mapenzi ni wewe usieishi nae wala kutoa huduma mtoto apendeze?.
Mchawi pesa
 
Kama uwezo wako unaruhusu, Jenga nyumba kwa jina la mtt, anzishia x biashara, peleka mtt shule nzuri
 
Njia ya kudumu!

Kama mama yake bado hajaolewa,muwezeshe mamaye kiuchumi ili amtunze mtoto maana jua kuna Leo na kesho waweza tangulia mtoto akabaki na majonzi.

Kumpeleka mtoto boarding school sio solution maana kile sio kichaka cha kukimbia shida ,malezi ya wazazi ni mhm sana kwa mtoto
 
Wanaume wengi wameacha watoto wao waliozaa na wanawake wengine Ila wanalea watoto wa wake zao waliobambikiwa ndani ya ndoa.

Mwanaume usiache mtoto ambaye unajua ulishiriki kumleta duniani kisa unaogopa ndoa
 
Back
Top Bottom