PichaWazungu wana uungwana mwingi sana maana Omar bin Laden, anaishi kwa uhuru kule Normandy Ufaransa wakati mtoto wa kwanza, Abdallah bin Laden anaishi Saudi Arabia na haruhusiwi kwenda popote.
Yaani unaokota porojo kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF.Wazungu wana uungwana mwingi sana maana Omar bin Laden, anaishi kwa uhuru kule Normandy Ufaransa wakati mtoto wa kwanza, Abdallah bin Laden anaishi Saudi Arabia na haruhusiwi kwenda popote.
Yaani unaokota porojo kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF.
Sawa.walishawahi kumhoji huyu dogo, ni mtoto wa osama kweli na yupo huru kabisa. interview yake ipo mitandaoni tafuteni hata youtube mtapata.
Mbege iheshimiwe tafadhali.Yaani unaokota porojo kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF.
Unapanic nini au kumtafuna bi mkubwa wako unamuonea wivu? Ukiwa shoga na akili zinahamia nyuma nilishakuambia toka mwanzo mimi na mashoga mbalimbali bi mkubwa wako anatosha.Ukiona habari inayohusu mabwana zako wa kiarabu lazima uje fasta kuwatetea..!
Unataka ni watetee mabasha zako wazungu? Mtoto wa kiume unakata kiuono umasema eti aibu jina lako tu unaonekana shoga.Huoni aibu kuropokaropoka kwa kuwatetea waarabu?
Mtoto wa kiume unaitwa Cute kuna nini tena hapo.Unaongelea tabia zako wewe mchumba wa mudi
Sawa Cute nakuja nyumbani leo kupumzika.Akili yako imechoka sana baada ya kipigo kule gaza.
Ukiona habari inayohusu mabwana zako wa kiarabu lazima uje fasta kuwatetea..!
Sababu Al Qaeda ni kundi Lao? Jamaa aliewahifadhi Watu waliolipua 9/11 hajawahi kamatwa pale Usa, walikaa kwake wakalipua kila FBI Wakitaka kumkamata CIA wanaingilia, amekuja Kufariki juzi juzi hapa kauliwa na Houth.Wazungu wana uungwana mwingi sana maana Omar bin Laden, anaishi kwa uhuru kule Normandy Ufaransa.
Wakati mtoto wa kwanza, Abdallah bin Laden anaishi Saudi Arabia na haruhusiwi kwenda popote.