Mtoto wa tatu wa Osama bin Laden anaishi huru Ufaransa wakati mtoto wa kwanza anaishi bila passport Saudi Arabia

Execute

JF-Expert Member
Sep 21, 2022
3,000
7,285
Wazungu wana uungwana mwingi sana maana Omar bin Laden, anaishi kwa uhuru kule Normandy Ufaransa.
images (13).jpeg

Omar bin Laden

Wakati mtoto wa kwanza, Abdallah bin Laden anaishi Saudi Arabia na haruhusiwi kwenda popote.
21114.jpg

Abdallah bin Laden
 
Wazungu wana uungwana mwingi sana maana Omar bin Laden, anaishi kwa uhuru kule Normandy Ufaransa.
View attachment 2815501
Omar bin Laden

Wakati mtoto wa kwanza, Abdallah bin Laden anaishi Saudi Arabia na haruhusiwi kwenda popote.
View attachment 2815500
Abdallah bin Laden
Sababu Al Qaeda ni kundi Lao? Jamaa aliewahifadhi Watu waliolipua 9/11 hajawahi kamatwa pale Usa, walikaa kwake wakalipua kila FBI Wakitaka kumkamata CIA wanaingilia, amekuja Kufariki juzi juzi hapa kauliwa na Houth.

Mwaka 2000 huyo Alielipua CIA walikua wanafahamu nyendo zake zote hadi anaingia Usa San Diego kakaa mwaka na nusu lakini report yake haijapelekwa FBI.

Soma zaidi hapa

Hao ni watu wao, wataishi kwa Raha
 
Back
Top Bottom