Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

bro alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
1,898
Reaction score
2,258
Wakuu nimekaa kimya ila naona too much, muacheni huyo kijana aishi maisha yake, kama wazazi wetu hawakujipanga kuandaa maisha Bora bahati ya mwenzio msiilalie mlango wazi.

Juzi kati akiwa anajianda kusafiri, airport alishtuka watu wakimrekodi ikabidi ahamie upande wa pili ili kulikwepa gari lake la kifahari analomiliki, chanzo Mange Kimambi insta page. Wakuu heshimuni watu bhana mama yake yuko kwenye nyadhifa mbalimbali serikalini toka zamani, anaweza kuwa ana biashara zake zinazomuingizia PESA hivo ni haki yake kuishi anavyotaka sio nyie mnavyotaka mnakera kumfuatilia mtu kiasi hicho, hata wewe unaesoma hapa ukipata madaraka lazima familia yako iishi vizuri wakuu tusidanganyane, dunia ya Leo watoto wote wa marais wanaishi poa wengi wanasoma na kuishi mambele.

Mtu kuumia kisa Fulani ANAISHI vizuri nimeshtuka hivi bado mjini kuna watu wana fikra za hivi si punde mtaloga sasa wakuu tuheshimu falagha za watu inakera.

Mchezaji wa zamani wa Yanga anachoma mishikaki Buguruni watu walianza kumsema vibaya eti hakujipanga, watu wanajipanga kuandaa maisha yao ya kesho mnaaanza maneno tena binafsi sipendezwi na hili,

Nimewakumbuka jirani zetu walio kuwa wanaumia eti kwanini sisi wazazi wetu wametupereka tukasome private schools wakati wao watoto wao wako shule za kata na juzi humu kuna jamaa kaleta Uzi humu hajaridhika kahamia inst mara Facebook eti wazazi wanapoteza hela kupeleka watoto private school sijui, eti ana wahurumia. *** off, unapangaje matumizi kwenye hela ya mwanaume mwenzako, ili iwe nini, ukiona private school haina maana peleka mwanao serikali punguza kihelele watu wanasaka PESA kwa ajili ya familia zao we unaleta mdomo kisa umaskini umekupiga knock out na hat trick juu, wacha watu watumie PESA wanazotafuta wao hio ni jasho lao na familia zao

Fullstop, kwishaaaaaaa
 
Wewe ni chawa au kiroboto mkuu. au wewe ni Duli..😂 Una element za kibinafsi, mpaka imefikia hapo haijaja from no where Kuna sehemu imeanzia, ambayo wewe haujaiongelea umerukia moja Kwa moja kuona kama watu wanamfanyia wivu na husda.
 
Wewe ni chawa au kiroboto mkuu. au wewe ni Duli..😂 Una element za kibinafsi, mpaka imefikia hapo haijaja from no where Kuna sehemu imeanzia, ambayo wewe haujaiongelea umerukia moja Kwa moja kuona kama watu wanamfanyia wivu na husda.
Ni chuki zako tu mkuu, komaa na mama yake si yeye sasa ye kumiliki gari Kali we unaumia kama nani?


Fullstop, kwishaa
 
Fedha zinazopatikana kwa access ya uongozi ni hatari kwa taifa.

Vyanzo vya fedha visivyoeleweka ni hatari kwa mataifa yote duniani na ni msingi wa watu kupigana vita.

Kuingilia nakuvunja sheria kwa kutumia nafasi ya uongozi uliokua nao au jamaa yako ni rushwa ,adui wa haki ,ufisadi na hatari kwa national sovereignity.

Nchi zote duniani kuna battle ya equitble distribution of national wealth ,sio wachache tu wajiwekee mrija

Brother hapa sio FB ,hizo comment zako peleka kule unakofanana nao
 
Back
Top Bottom