Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Sijawahi kumuona anachangia hoja,naona kiyoyozi cha bungeni kinamtesa
Ha ha ha ! Mtoto kama hafanani na wewe (sio sura) tabia uwe na mashaka.
View attachment 160010
Sent from my iPad using JamiiForums
Hivi huyu na mzee wake wanavaa hiyo mipete ya nani?
Ha ha ha ! Mtoto kama hafanani na wewe (sio sura) tabia uwe na mashaka.
View attachment 160010
Sent from my iPad using JamiiForums
hapana ni nyau.... vipusa kwa kwenda mbelelike a father like a son,,,,
mtoto wa paka ni pusi
Ha ha ha ! Mtoto kama hafanani na wewe (sio sura) tabia uwe na mashaka.
View attachment 160010
Sent from my iPad using JamiiForums
Presidaaa ndani ya Red Carpet na Millen Magese!!!
mkuu una maneno mazito sana hujajua tu... Yafafanulie tu
Kutokana na uelewa wangu, wabunge wanakaa ki-alphabet, sasa inakuwaje Riziwani Kikwete na Catherine Magige wanakaa pamoja??
Kagasheki ataua kijana!hajui kuwa huyo ni bi mdogo wa Kagasheki?
Mkuu nimewahi kutana na Samwel L Jackson Zanzibar tukapanda wote ndege mpaka Dar huwezi amini ni wazungu tu sisi wabongo wachache ndio tuliomtambua kwa jinsi alivyokuwa katoka simple yeye na washkaji zake wawili.Hivi ukikutana na Abramovich say Coco hapo kakaa zake na pensi kifua wazi unaweza kusema kama ana mpunga au hana???!!