Mtoto Wa Miaka 14 Apewe Mimba na Mzungu

While economically perfect, U-Turn is morally and socially bad and destructive for Tanzanian ladies. Period.
 
mnh hivi alishindwa kujua huyo mtoto ni underage....litakuwa ni lisex perv hilo!!!usikute liko kny register kwao kama ni li perv.....wazazi kaeni karibu na watoto wenu mafataki sio ya kizungu peke yake.....hata meusi yapo...na kisha msiwape watoto free time sana..mzazi lazima ujue mwanao yupo wapi kwa wakati gani na anafanya nini....
 
shame on me! hata mimi ni leo nimejua CL ni nini? just kidding....Kuna baadhi ya members wanadiriki kukataa kwamba kuna mitandao au blogs zinaleta yote haya. Well ni kizazi cha Dot com lakini bora nyingi ya hizi blog zingekuwa za kuelimisha zaidi kuliko kujikweza na kujitangaza maisha wanayoishi na kuwafanya baadhi ya wasomaji hasa watoto wadogo kama haka kabinti kwamba maisha ni kuwa na kibabu cha kizungu basi utapata vitu kama CL, Blackberry kwenda kushop overseas etc. Naipenda sana blog ya Wavuti inaelimisha na kikubwa zaidi inasaidia wengi kujiendeleza kielimu. Hizi blog za muke ya muzungu bla bla zitawaharibu mabinti wengi. Wewe usiye na mtoto utasema utakavyo kwa tulio na watoto nadhani ni woga unazidi kututawala siku hata siku. Wazazi wa kabinti wapo responsible na hili lakini hata blogs za upuuzi zijiangalie na kujaribu kurekebisha maana au ujumbe muhimu wa blog zao sio tulikula tulilala tulishop tulidance tulikis....oooops tulitongozwa na upuuzi mwingine. Wana blog watoto wenu watakuja soma upuuzi wenu siku si nyingi then you will pay the price.

Bongfleva haiharibu watoto! Sinema za Hollywood haziharibu watoto. Bongo movies haziharibu watoto. Mabaa yaliyozagaa kwenye kila pembe ya Dar hayaharibu watu. Magesti hausi ambayo (madanguro) yamo katikati ya maeneo ya kuishi watu hayaharibu watoto.

Zamani hakuna watu waliokuwa wakiharibikiwa. Ni baada ya kuanzishwa U Turn ndo watoto wameanza kuharibikiwa. Tuanzisheni maandamano basi ya kuipinga U Turn na kutaka ifungiwe.
 
China wamemuua dada raia wa SA aliyekutwa na madawa ya kulevya pamoja na rais Zuma "kubembeleza" asinyongwe. China na SA wanategemeana sana kibiashara kias kwamba uhusiano mzuri baina yao ni kwa maslahi ya wote. Hii inatufundisha kwamba ni muhimu sana kusimamia misingi, tamaduni na sheria zetu bila kuangalia sura,wadhifa, taifa, rangi, wala kipato.
Swali la msingi ni huyo mzungu ametorokaje kama si kwa kushirikiana na wanaopaswa kulinda usalama wetu (usalama wa raia na mali zao)? Mwaka 2011 kuelekea 2012 bado tunawaachia wazungu wanaofanya unyama kwa watanzania waende zao tu kwao kama ilivyopata kutokea kwa dada yetu kufanywa na mbwa wa mzungu? We should be ashamed of ourselves for this. 50 years of INDEPENDENCE!
 
Ni moja ya majanga yanayo wakumba wanafunzi. Mafataki huusika zaidi,haijalishi rangi zao, Uduni wa elimu ya jinsia haswa kwa watoto kama huyo,Pia mtoto kukosa hofu ya kuanza mahusiano,Tamaa kwa wote mtenda na mtendwa. Enyi mafataki kumbuka unacho mfanyia huyo mtoto ndicho anacho fanyiwa mwanao.
 
viva U- turn ..mzungu kamtanisha mtoto kitumbo kimeota..big up U tur n big up mtoto wa makamba na mwenye blog..more to come from you guys ..and we are still waiting
 
Bongfleva haiharibu watoto! Sinema za Hollywood haziharibu watoto. Bongo movies haziharibu watoto. Mabaa yaliyozagaa kwenye kila pembe ya Dar hayaharibu watu. Magesti hausi ambayo (madanguro) yamo katikati ya maeneo ya kuishi watu hayaharibu watoto.

Zamani hakuna watu waliokuwa wakiharibikiwa. Ni baada ya kuanzishwa U Turn ndo watoto wameanza kuharibikiwa. Tuanzisheni maandamano basi ya kuipinga U Turn na kutaka ifungiwe.
Mkuu heshima yako naomba nikurekebishe kidogo na maelezo yangu. Hakuna sehemu nimetaja U turn. Nakubaliana na wewe kweli hizo sehemu ulizotaja nazo pia zinachangia katika kuharibu watoto na vijana wengi pamoja na watu wazima lakini usipinge kwamba Dot com haiharibu jamii. Inawezekana ikawa ni U turn inawezekana ni B move etc. lakini kwa ufupi Dot com inachangia sana katika kupotosha maadili katika jamii period. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza.
 
Ingetosha tu kusema "binti kapewa mimba na mtu mzima" kusema kapewa mimba na Mzungu sioni logic! Preg is preg! Nini tofauti ya mimba ya Mzungu Mchina na awaye yeyote! Miezi ni ileile 9! Uingiaji/uzaaji ni uleule! Mimba ni mimba tu! Alaaa!
 
Kizazi cha dotcom ndo hiki sasa 14yrs kaanza kuwaza kumiliki blakbry 18yrs catawaza kumiliki hammer.! But cio mbaya maana familia itafurahia kupokea mzungu koko.!
 
Mkuu heshima yako naomba nikurekebishe kidogo na maelezo yangu. Hakuna sehemu nimetaja U turn. Nakubaliana na wewe kweli hizo sehemu ulizotaja nazo pia zinachangia katika kuharibu watoto na vijana wengi pamoja na watu wazima lakini usipinge kwamba Dot com haiharibu jamii. Inawezekana ikawa ni U turn inawezekana ni B move etc. lakini kwa ufupi Dot com inachangia sana katika kupotosha maadili katika jamii period. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza.

Nashukuru kwa ufafanuzi wako. Nadhani tuko ukurasa mmoja.
 
kama kuna kitu ambacho kinanipa shida kukifikiria na kujengea taswira kichwani kwangu, ni mtu mzima kujikunja kabisaa na binti mdogo wa miaka <18! Hivi inakuwaje, na ina starehe yoyote kweli? Seriously?! Na humu wamo tu, tumejificha nyuma ya avatar!:smash:
Kuna watu wakiona chuchu wanaweka taswira ya vuz* na usiombe mwanaume aweke akili kwenye vukenge, hata kama yuko misa ya mazishi utaona ka-abdala kanaibuka tartiiibu
 
Back
Top Bottom