Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Familia yenye mkwanja kidogo, walikuwa wanaishi katika kabangaloo kao kenye ghorofa
moja. Mamaa alikuwa kajifungua mtoto wa pili ana wiki mbili tu
DOGO: Mamaaaaaaaaaa njooooo huku chumbani kwakooo
MAMA: Kuna nini?
DOGO: Njooooo mama
MAMA: Heee wee mtoto yuko wapi? DOGO: We ndio umenidanganya, ulisema mtoto wako malaika, nimemtupa nje kashindwa
kupaa
moja. Mamaa alikuwa kajifungua mtoto wa pili ana wiki mbili tu
DOGO: Mamaaaaaaaaaa njooooo huku chumbani kwakooo
MAMA: Kuna nini?
DOGO: Njooooo mama
MAMA: Heee wee mtoto yuko wapi? DOGO: We ndio umenidanganya, ulisema mtoto wako malaika, nimemtupa nje kashindwa
kupaa