Mtoto wa kinyarwandaa chuoni mwenge

Mtoto wa kinyarwandaa chuoni mwenge

Habarini wadau...juzi kati nilipita chuoni tumaini university mwenge campus hapa dsm...aiseee nilikutana na mtoto mkali wa kinyarwanda ana weupe flanhv yupo diploma na nilipoulizia kwa wadau wakasema anakaa mitaa ya kinondoni..kama kuna mtu anayemfaham yule mtoto plz
Ccm ataendelea kuiba kura na kushinda vijijini kwa akili kama,hizi
 
Ndio tatizo la vitoto vya Dar. Mkishapiga mlegezo mnaona kila mtu anapenda. Bora wanajeshi waendelee kuwanyoosha tu. We ulipomuona si ungemfuata ukaongea naye.
 
Ngoja nikafanye aplication nikaanze na chuo pale pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom