Mtoto wa kike, ukiombwa namba toa

Mtoto wa kike, ukiombwa namba toa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,107
Reaction score
55,516
Mtoto wa kike, ukiombwa namba toa, hata kama humpendi huyo mwanaume.

Kama humtaki, tumia mbinu za ki-digitali:-​
  • Atakapoanza kuchati na wewe; mpige mzinga mkubwa, kwa mfano; akununulie kiwanja n.k; hapo lazima akukimbie bila kumkwaza.​
Hii njia itakujengea heshima na haitakukwaza na watu.​
 
Mtoto wa kike, ukiombwa namba toa, hata kama humpendi huyo mwanaume.

Kama humtaki, tumia mbinu za ki-digitali:-​
  • Atakapoanza kuchati na wewe; mpige mzinga mkubwa, kwa mfano; akununulie kiwanja n.k; hapo lazima akukimbie bila kumkwaza.​
Hii njia itakujengea heshima na haitakukwaza na watu.​

Atoe namba ili kitokee nini
 
Back
Top Bottom