Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,107
- 55,516
Mtoto wa kike, ukiombwa namba toa, hata kama humpendi huyo mwanaume.
Kama humtaki, tumia mbinu za ki-digitali:-
Kama humtaki, tumia mbinu za ki-digitali:-
- Atakapoanza kuchati na wewe; mpige mzinga mkubwa, kwa mfano; akununulie kiwanja n.k; hapo lazima akukimbie bila kumkwaza.
Hii njia itakujengea heshima na haitakukwaza na watu.
Tangu lini umeanza tabia mbaya? Si tulikubaliana tusipeane namba tusijeingia majaribuni Kwa sababu sisi ni binamu?

