roselina john
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 758
- 947
Kwanza ujue msimamo wa mkeo katika ilo,
Pili kama ni mwaminifu usiogope
Pili kama ni mwaminifu usiogope
Housegirl yule ni majaribu. Siku hizi nakaa ofisini hadi mida ya wife kurudi ndo narudi pia. Au narudi usiku mwingi uyo beki akiwa kalalaVipi yule housegirl wako wakutoka tanga mkuu.!? Huku housegirl anakutega na huku wife anamendewa.. pambana mkuu..
Niandae talaka nnSasa naamini uzi mmoja uliwekwa humu kuwa kuna baadhi ya wanawake wanaofanya kazi fulani hawafai kuwaoa. Uoe at your own risk
1.Askari
2. Walimu
3. Manesi n.k
Kaka vumilia tu umo kwenye kundi baya sana. Pole sana kijana, bahati mbaya tu kwa kuwa huyo ni mtoto wa Kigogo ndiyo maana umepata taarifa.
Kuna msururu umeshapita.
Mimi nishamuweka tayariA. Hakikisha hilo suala.
B. Kama wife ameridhika na kusumbuliwa wakati ameolewa; bas usihangaike. Deal na wife kwanza. Maana yeye sio object. She can decide to stop that.
C. (Optional)-Mimi binafsi niliyejaa roho ya visasi, ningemuweka huyo jamaa kwenye to do list.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah wewe hufai kabisaMkuu hiyo ni neema aseee.Tena na usawa huu mgumu.Cha muhimu mpange vema mkeo amchune vizuri huku mkichangia papuchi
Endelea kupumua huko chini ni ishara ya afya njema[emoji23] [emoji23] [emoji13][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] aisee nimecheka mpaka nimepumulia chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheers[emoji323]Endelea kupumua huko chini ni ishara ya afya njema[emoji23] [emoji23] [emoji13]
Subiri kidogo upepo upulize na kusafirisha huo mzigo uliokuponyoka mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Subiri kidogo upepo upulize na kusafirisha huo mzigo uliokuponyoka mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duh!!!kumbuka watachangia na magonjwa pia.Mkuu hiyo ni neema aseee.Tena na usawa huu mgumu.Cha muhimu mpange vema mkeo amchune vizuri huku mkichangia papuchi
[emoji106][emoji817]The power is in your wife's hands.
Finito.
Haihitaji mume kuingilia kati na kuanza kugombana kisa wanaume wanamtaka mke.
Kama anaejielewa she will say NO in such a way that the way she says it? You best believe it will put an end to his lust no matter how rich or connected he may be.
Ohooooo!!!Ha ha ha mwana jiandae kuandaliwa kesi ya unga ukae jela jamaa ajilie vyake kirahisi ...si wajua nchi za kiafrika zilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app