Mtoto wa kigogo anammendea mke wangu

Mtoto wa kigogo anammendea mke wangu

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,048
Reaction score
3,417
Wakuu,

Nina mke wangu Nesi,

Wakati anasoma, alisoma na mtoto wa kigogo mmoja mkubwa nchi hii

Sasa sijui hakumwona wakati huo chuoni.. Mimi nimeopoa jiko, nimelitunza, sasa analiona limewiva, anamtongoza kila leo.

Anajua kabisa ni mke wangu. Anamfuata hadi kazini na kumwomba amtoe Lunch.

Em niambieni wakuu, ninunue gun nikamtungue? Au nifanyeje?
 
Mfuate jamaa umface directly..uso kwa uso umwambie AMKOME MKEO..
Othewise utakuja kulia humu maana ataamua kumpa tunda tu ili asisumbuliwe.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Nina mke wangu Nesi,

Wakati anasoma, alisoma na mtoto wa kigogo mmoja mkubwa nchi hii

Sasa sijui hakumwona wakati huo chuoni.. Mimi nimeopoa jiko, nimelitunza, sasa analiona limewiva, anamtongoza kila leo.

Anajua kabisa ni mke wangu. Anamfuata hadi kazini na kumwomba amtoe Lunch.

Em niambieni wakuu, ninunue gun nikamtungue? Au nifanyeje?

Kwani ulimkuta akiwa Bikira? Miswahili bhana!!!!!!!
 
Wakuu,

Nina mke wangu Nesi,

Wakati anasoma, alisoma na mtoto wa kigogo mmoja mkubwa nchi hii

Sasa sijui hakumwona wakati huo chuoni.. Mimi nimeopoa jiko, nimelitunza, sasa analiona limewiva, anamtongoza kila leo.

Anajua kabisa ni mke wangu. Anamfuata hadi kazini na kumwomba amtoe Lunch.

Em niambieni wakuu, ninunue gun nikamtungue? Au nifanyeje?
Kigogo gan huyo mtoto wasira nin
 
Huyo dada alikosea kuolewa na wewe, mwanaune kama wewe unastahili kugongewa kama ni story ya kweli
 
Wakuu,

Nina mke wangu Nesi,

Wakati anasoma, alisoma na mtoto wa kigogo mmoja mkubwa nchi hii

Sasa sijui hakumwona wakati huo chuoni.. Mimi nimeopoa jiko, nimelitunza, sasa analiona limewiva, anamtongoza kila leo.

Anajua kabisa ni mke wangu. Anamfuata hadi kazini na kumwomba amtoe Lunch.

Em niambieni wakuu, ninunue gun nikamtungue? Au nifanyeje?
Mkuu take care usije ukalia kilio cha samaki!
 
Wakuu,

Nina mke wangu Nesi,

Wakati anasoma, alisoma na mtoto wa kigogo mmoja mkubwa nchi hii

Sasa sijui hakumwona wakati huo chuoni.. Mimi nimeopoa jiko, nimelitunza, sasa analiona limewiva, anamtongoza kila leo.

Anajua kabisa ni mke wangu. Anamfuata hadi kazini na kumwomba amtoe Lunch.

Em niambieni wakuu, ninunue gun nikamtungue? Au nifanyeje?
Sio Le mutuz kweli huyo?
 
The power is in your wife's hands.

Finito.

Haihitaji mume kuingilia kati na kuanza kugombana kisa wanaume wanamtaka mke.

Kama anaejielewa she will say NO in such a way that the way she says it? You best believe it will put an end to his lust no matter how rich or connected he may be.
 
Sasa naamini uzi mmoja uliwekwa humu kuwa kuna baadhi ya wanawake wanaofanya kazi fulani hawafai kuwaoa. Uoe at your own risk
1.Askari
2. Walimu
3. Manesi n.k

Kaka vumilia tu umo kwenye kundi baya sana. Pole sana kijana, bahati mbaya tu kwa kuwa huyo ni mtoto wa Kigogo ndiyo maana umepata taarifa.

Kuna msururu umeshapita.
 
Wakuu,

Nina mke wangu Nesi,

Wakati anasoma, alisoma na mtoto wa kigogo mmoja mkubwa nchi hii

Sasa sijui hakumwona wakati huo chuoni.. Mimi nimeopoa jiko, nimelitunza, sasa analiona limewiva, anamtongoza kila leo.

Anajua kabisa ni mke wangu. Anamfuata hadi kazini na kumwomba amtoe Lunch.

Em niambieni wakuu, ninunue gun nikamtungue? Au nifanyeje?
Ha ha ha mwana jiandae kuandaliwa kesi ya unga ukae jela jamaa ajilie vyake kirahisi ...si wajua nchi za kiafrika zilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU, MTENGENEZEE UGONI, HALAFU MPELEKE MAHAKAMANI UKADAI FIDIA YA BILION 1 (IN WAKILI KARUME VOICE)
 
Back
Top Bottom