mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
MTOTO WA KIGOGO/FAILI LA MWAKEMBE:
Kwa hakika Tanzania/serikali inaonesha dalili zote za kuanguka. Sijui lini anguko hili litakuja lakini kwa mtazamo na matukio yanavyoonesha sio mbali huenda ndani ya miaka 4 ijao.
kwa vile hata ukiona viongozi waandamizi wanafikia kupeana sumu na kutaka kmalizana, basi ujue SYSTEM IMESHABOMOKA. Wakati ndio utakaoamua.
Kwa hakika Tanzania/serikali inaonesha dalili zote za kuanguka. Sijui lini anguko hili litakuja lakini kwa mtazamo na matukio yanavyoonesha sio mbali huenda ndani ya miaka 4 ijao.
kwa vile hata ukiona viongozi waandamizi wanafikia kupeana sumu na kutaka kmalizana, basi ujue SYSTEM IMESHABOMOKA. Wakati ndio utakaoamua.