FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Something fishy here... Lowasa aliangushwa kwa ripoti ya Mwakyembe... Lakini Mwakyembe mwenyewe alishakiri kuwa alificha sehemu ya ripoti ili kumsitiri/kumwokoa 'jamaa' mwingine. Sasa kati ya EL na 'jamaa' ni nani atataka Mwakyembe auawe? Nani atampa sumu??? Bila shaka ni yule ambaye Mwakyembe ana siri zake. Hivi kati ya EL na 'jamaa' ni nani anaiogopa 'ripoti iliyofichwa' na Mwakyembe?! Jibu liko wazi kama kutafuta jua mchana. Hii inaweza kuwa inachezwa na mmoja wa wataalamu wa siasa za majitaka za bongo, ambao ni wengi na kinara wao anajulikana..
Sijui kama niko sahihi lakini!!
Upo sahihi. Una akili ndugu yangu. Watu kama nyie ndo huwa napenda kujadiliana nao. Watu ambao angalau wanatumia akili kidogo!
Lowassa amtafute au ampe Sumu Mwakyembe ili nini? Wakati mwakyembe alishamwaga ugali?
Hii ya kuficha siri ndo inakua kama Balali style. Unaowafichia siri ndo wanakugeuka baadaye ukae na siri milele.
Master wa ku spin si wote mnamjua jamani? Na nahisi ndie anaye spin habari zote kuzitoa kunakohusika na kumtupia Lowassa.
Huyu ni M..... wetu. AK...
Hongereni maana wasio na akili wanawaamini. Na wabongo Kama BWM alivysema ni wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo.