donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
- Thread starter
- #21
Sana
Ila umasikini ni mbaya sana
Ila umasikini ni mbaya sana
Naomba uendelee kutu update na ukumbini maana sie tulio mbali na upeo wa jiji la daisaama tutashiba kwa macho na wikiendi kuwa murua kabisa.
Hongera kwa wazazi na kijana, binti muolewaji ajiandae kisaikolojia kuishi kwenye ndoa na si kupanga na kudhibiti mali alizonazo mumewe au kumdhibiti mumewe au kumpangia arudi saa ngapi nyumbani.
Mweeh nyege hizi,Hata sijui nimeandika nini wakati.....
Nawatakia maharusi Mahaba telee.
HahahahaMaji hufuata mkondo mkuu, ukiona yameanzisha njia nyingine hayo ni mafuriko mkuu
Hahahaha
Ila umasikini ni mbaya sana
Umasikl
[/QUOTE
Umasikini Ni Mbaya Sana Unaweza Kuomba Ije Njaa Kali Ili Nao Wapate Mateso Kumbe Utateseka Mwenyewe
Bila shaka ulitamani uolewe katika hio familiaNaomba uendelee kutu update na ukumbini maana sie tulio mbali na upeo wa jiji la daisaama tutashiba kwa macho na wikiendi kuwa murua kabisa.
Hongera kwa wazazi na kijana, binti muolewaji ajiandae kisaikolojia kuishi kwenye ndoa na si kupanga na kudhibiti mali alizonazo mumewe au kumdhibiti mumewe au kumpangia arudi saa ngapi nyumbani.
Mweeh nyege hizi,Hata sijui nimeandika nini wakati.....
Nawatakia maharusi Mahaba telee.
Kwenye hili kuna ukweli fulani ndani yake, tusipende kubeza kila jambo hata Yale ambayo yana ukweli.Kwa akili kama hizi huwezi kupata kazi pale CRDB.... Pole sana ndugu
Namuona Shoo, Malasusa na mwingine sijui nani. Hivi ni kawaida hii ndoa kufungwa na wakuu wote hao?
Namuona Shoo, Malasusa na mwingine sijui nani. Hivi ni kawaida hii ndoa kufungwa na wakuu wote hao?
Kwahiyo hadi sasa hivi Kimei yupo CRDB?? Hata kama ni wew ukipewa taasisi lazma upendeleo wa upande wako tu, Angalia Meko, angalia yule aliyekuwa sijui NSSF, angalia chuo cha dodoma...Kwenye hili kuna ukweli fulani ndani yake, tusipende kubeza kila jambo hata Yale ambayo yana ukweli.
Bila shaka ulitamani uolewe katika hio familia
Tatizo Sean sio mchaga
Hahahahah
Sijaona hata ka funcargo, Daah acha tuzisake ngawiraView attachment 1194306View attachment 1194308View attachment 1194309View attachment 1194310View attachment 1194311
Mapenzi siyo pesa, bali ni upendo wa dhati kabisa kutoka moyoni.Bila shaka ulitamani uolewe katika hio familia
Tatizo Sean sio mchaga
Hahahahah
Nitakuwepo,
Ni ubora tuNamuona Shoo, Malasusa na mwingine sijui nani. Hivi ni kawaida hii ndoa kufungwa na wakuu wote hao?
Hzo lawamaMimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Umeishia kunicheeekaaa looh....
Hapo nimetamani tuu hayo magari