Umekuwa mfipa tena? Uchaga umeukataa tena?Inakutesa wewe, sisi wa-fipa tunafunga kimila, hatuna mambo ya kishamba kama ninyi mnalala na suti na viatu wiki nzima kabla ya harusi
Umekuwa mfipa tena? Uchaga umeukataa tena?Inakutesa wewe, sisi wa-fipa tunafunga kimila, hatuna mambo ya kishamba kama ninyi mnalala na suti na viatu wiki nzima kabla ya harusi
Sasa; kwanini hizo nyegezi uzitunze na mimi nipo? Hebu kua serious bhanaNaomba uendelee kutu update na ukumbini maana sie tulio mbali na upeo wa jiji la daisaama tutashiba kwa macho na wikiendi kuwa murua kabisa.
Hongera kwa wazazi na kijana, binti muolewaji ajiandae kisaikolojia kuishi kwenye ndoa na si kupanga na kudhibiti mali alizonazo mumewe au kumdhibiti mumewe au kumpangia arudi saa ngapi nyumbani.
Mweeh nyege hizi,Hata sijui nimeandika nini wakati.....
Nawatakia maharusi Mahaba telee.
Du! Pesa si mchezo aisee. Harusi kutoka saa 12 jioni hadi saa 10 alfajiri? Hii kiboko.Sijaona hata ka funcargo, Daah acha tuzisake ngawiraView attachment 1194306View attachment 1194308View attachment 1194309View attachment 1194310View attachment 1194311
Ni balaa mkuuDu! Pesa si mchezo aisee. Harusi kutoka saa 12 jioni hadi saa 10 alfajiri? Hii kiboko.
Hawajaachana bado?
Wana mtoto wa kike, ila sijamuona shosti mwaka sasa so sijuiHawajaachana bado?
Huyo kaka anafanana na ex wangu flan ivi
Huyo kaka anafanana na ex wangu flan ivi
Unamjua Said Pamui?!!!kamtafute ujue asili yakeLindi na Mtwara wakati Kaskazini wanasoma nyie mpo bize na Unyago halafu mnataka kazi CRDB
Mamoja kati ya 1000..kasomeshwa na kanisa..halafu mnakuja kusema kanisa linawahujumu wakati mamekalia kukaririshana elimu kifo.Unamjua Said Pamui?!!!kamtafute ujue asili yake
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app