Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Kaambiwa na mwalimu wake...............Tunga sentensi ukitumia jina 'TUMAINI' Mtoto akajibu
"Hii butchery inauza tumaini tudogo..."
"Hii butchery inauza tumaini tudogo..."
Si amelithi akili zako! Usimlaumu.
buji, mtoto umepata lini? Au wa kufinyanga na tope la Ilolo?
buji, mtoto umepata lini? Au wa kufinyanga na tope la Ilolo?