mimi naishauri kabisa iyapige marufuku mashindano haya mpaka pale watakapohisi kwamba wanaweza kuyadhibiti.mwaka jana kafariki mmoja na sasa mwengine .vipi tutauruhusu mchezo ambao kila unapochezwa unapoteza roho ya mtu.kwa jinsi ninavyoijua serikali ya zenji sitoshangaa kama wakipiga marufuku mashindano haya kama walivyopiga maruufuku boxing