Mtoto Nilham unatisha!!!!!

Mtoto Nilham unatisha!!!!!

hili movie la kihindi starring anakufa kwenye maua mwanzo wa picha halafu anamalizia dogi kuwa steringi
usilihadisie litapungua uhondo, hapo mbele nazani starring ataonana na dada yake alozaliwa baada erenjd meriej na kubwa la maadui
 
hili movie la kihindi starring anakufa kwenye maua mwanzo wa picha halafu anamalizia dogi kuwa steringi
Hili Movie Starring amevaa mask kila mtu hajui uzuri wake lakini kumbe ni mzuri kupita kiasi.., kwahiyo wote wanamwacha anabaki yule anayempenda zaidi kwa ajili ya tabia zake, mwisho wa movie starring anapovua mask jamaa hawezi kuamini bahati yake :first:
 
Hili Movie Starring amevaa mask kila mtu hajui uzuri wake lakini kumbe ni mzuri kupita kiasi.., kwahiyo wote wanamwacha anabaki yule anayempenda zaidi kwa ajili ya tabia zake, mwisho wa movie starring anapovua mask jamaa hawezi kuamini bahati yake :first:

hehehe kamanda naona umeweka maelezo kwenye bracket lakini greti thinka nimeelewa. tumsubirie hashy ajibu hii post
 
kuna mama mmoja alikuwa akipenda sana kutoa usemi huu kwamba kuishi na watu kazi....kweli kazi maana sijailewa sababu ya kubishana iko wapi?? ukizangatia la kwanza wewe ni mwanamme imekuuuma nini hasa mpaka ukakasirika ukaanza kufatilia sasa kwa experiment ulioifanya ulijuaje kama ni uongo abuy.....hunijui kwetu?? hunijui mie ni nani?? sasa sawa fine nakudanganya wewe nisiekufahamu kwa faida gani hasaa??? hunipi kula hunivalishi??? sioni tatizo nililofanya hapa la muhimu kama kwakuwa hamnifaham na nimejitahid kujitambulisha lakini bado nashangaa mwanichokoa chokoa ukinawa sana mwisho hutoka na uchafu..... sasa be carefull....... na nisameh sana sana kama nitakuwa nilikuwa nikikuudhi abuy binaadam hakuna aliekamilika sote tuhalimoja na sote damu yetu nyekundu na alietuumba ni mmoja.... allah isalimki jamiya yaraab...
Huyu ni muongo na humu kawapata kweli kweli.
 
oooppss i really love when people know about me...lakini kuwaambia ukweli kidogo msije kushangaam soloon nitumiayo ni kuonyesha matangazo yake ya harusi kuhusu mambo ya makeup na hijab ni ya ukhty wangu sasa huwa mimi ndio sana namsuport japo ninia kazi yangu na nnafamilly yangu ni kiasi cha kumpa suport tuu picha hizi ni almost one year tena tangu nilipopiga i really like it...:msela:

kuna mama mmoja alikuwa akipenda sana kutoa usemi huu kwamba kuishi na watu kazi....kweli kazi maana sijailewa sababu ya kubishana iko wapi?? ukizangatia la kwanza wewe ni mwanamme imekuuuma nini hasa mpaka ukakasirika ukaanza kufatilia sasa kwa experiment ulioifanya ulijuaje kama ni uongo abuy.....hunijui kwetu?? hunijui mie ni nani?? sasa sawa fine nakudanganya wewe nisiekufahamu kwa faida gani hasaa??? hunipi kula hunivalishi??? sioni tatizo nililofanya hapa la muhimu kama kwakuwa hamnifaham na nimejitahid kujitambulisha lakini bado nashangaa mwanichokoa chokoa ukinawa sana mwisho hutoka na uchafu..... sasa be carefull....... na nisameh sana sana kama nitakuwa nilikuwa nikikuudhi abuy binaadam hakuna aliekamilika sote tuhalimoja na sote damu yetu nyekundu na alietuumba ni mmoja.... allah isalimki jamiya yaraab...

Kutoka kwenye Qur'an tunasoma maneno haya:
"… na ndimi zao zinasema uongo…"
16: 62

"Basi Ukthi ujuwe kuwa mtu hapaswi kuzungumza isipokuwa lile lenye manufaa..." Badala ya kujilazimisha kuzungumza yenye faida, wewe wa leo umekuwa ni mwepesi wa kusema uongo.

Kwanza kabisa hizo picha si zako ni za mtu mwingine kabisa, ila wewe unadai kuwa ni zako, Je wewe jina lako ni Fathima Kulsum Zohar Godabari?

Pili wewe unadai kuwa ujaolewa wakati mwenye hizo picha inadaiwa kuwa ni mke wa mtu...
 
na nisameh sana sana kama nitakuwa nilikuwa nikikuudhi abuy binaadam hakuna aliekamilika sote tuhalimoja na sote damu yetu nyekundu na alietuumba ni mmoja.... allah isalimki jamiya yaraab...

Kwa maneno haya wewe ni mzuri kuliko hata hiyo picha, safi sana dada endelea hivyo hivyo........
 
Back
Top Bottom