Huyo fundi wake huwa anachukua vipimo halisi au huwa anakadiria tu ?.Nimevutiwa na upande wa juu suruali, hasa hapo palipo bana zaidi.
Naona mtoto amependeza zaidi hata ya wazazi wake...
Mkuu ukiwa na umbo namba nane ni shida sana.Huyo fundi wake huwa anachukua vipimo halisi au huwa anakadiria tu ?.
Je, mvaaji wa hizo nguo huwa haoni kama zina kasoro ?
Tunaamini mama wa familia ndiye anayehusika na kumuandalia mavazi mmewe, je tuamini kuwa hii ni kazi aliyoifanya au yuko busy na kulea mtoto ?
Nimevutiwa na upande wa juu suruali, hasa hapo palipo bana zaidi.
Naona mtoto amependeza zaidi hata ya wazazi wake...
Mkuu ukiwa na umbo namba nane ni shida sana.
Huyo Bibi hapo juu amemaliza kazi ya kukujibu.Hiyo suruali mbona kama ni ya Dada zetu! au tatizo ni MTU ana wowowo lililonona?
Hakika hujawahi kuniagusha katika hoja zako Mh mjumbeNimevutiwa na upande wa juu suruali, hasa hapo palipo bana zaidi.
Naona mtoto amependeza zaidi hata ya wazazi wake...
Ohoooo! Mkuu utanunua ugomvi na yule kipa maarufu nchini