Tupe Siri ya mafanikio yake!Jamaa alianzia mbali sana aisee
Whatever anafanya kutafuta hela nampa Heko
Hapa nadhani ni miaka 50 iliyopita na alikua anaitwa Atulokole Mwajilala😅😅😅
View attachment 3287746
Kwa sasa kamanda kajipata karudi ujanani na anaitwa Chief GodLove😂😂View attachment 3287747
Watu wanatumia UJINGA wa watanzania kujipatia hela mjombaHuyo kijana muongo sana, akili hana na ujinga mwingi sana, shule hana, kasema hiyo Mustang GT eti tshs 1.5 bil wakati hiyo gari ya US ni $ 21,000 unapata..!!
Huyo kijana mpuuzi na anatafuta umaarufu wa kijinga sana
Kama hakuna alielalamika kuibiwa nae, kudhulumiwa, kutapeliwa na kama sio fisadi wa mali za umma, basi juhudi zake ziheshimiwe! Yapo majizi yanakwapua mali za umma na wabongo kibao wanakula mlo mmoja, tunachokifanya ni kuyashangilia na kusema mitano Tena!Kajipata kutoka chanzo kipi cha pesa?
Sahivi ndiyo namuelewa mwalimu nyerere alivyotaka kila anaemiliki pesa lazima biashara zake zijulikane vinginevyo siyo pesa halali.
Tueleze hizo pesa kachimba madini,kabet ,kauza nini, kalupwa mshahara au kaokota?
Inje ya hapo kuharibu bongo za vijana wazalendo
Bado ana pesa za madafu na gari za kuazima kupigia picha