Barantogwa
Member
- May 3, 2014
- 53
- 33
Ndugu zangu Habari za asubuhi, natumai mu wazima wa afya njema, mulio wagonjwa MUNGU akawape wepesi kwa kuwaponya.
Moja kwa Moja niende kwenye maada, nina mtoto wangu wa miezi 8 amekuwa na tatizo la kutapika kila akinyweshwa uji, maziwa au chakula chochote.
Wataramu wa malezi na Matabibu naomba msaada wenu.
Moja kwa Moja niende kwenye maada, nina mtoto wangu wa miezi 8 amekuwa na tatizo la kutapika kila akinyweshwa uji, maziwa au chakula chochote.
Wataramu wa malezi na Matabibu naomba msaada wenu.