Tena huyu jamaa angeshauriwa akomae na fani yake....
Huu ushauri awaachie watu waliosomea..
Na sio kupotosha umma namna hio
Hii mada inaleta maswali vikirishi zaidi badala ya kwenda kwenye hitimisho moja kwa moja .Mkuu kama unaongea kiroho uko sahihi kabisa..
Lakini kama ni sayansi basi huo ni uongo ulio tukuka....
Kisayansi nitaanza kupoint uongo wako niliouona ..
Kwanza kabisa according to anatomy and physiology hakuna njia ambayo acid iliyoko kwenye semen inaweza kufika kwenye maziwa ya mama (kwa hilo naomba uwaombe radhi uliowadanganya)
Pili
Katika content za semen hakuna virus (labda kama mtu atakuwa yuko infected na virus) lakin katika normal condition hio content ya virus labda uandike vitabu vyako vya physiology uiongeze......
Hayo ni machache kati ya uongo mwingi uliouandika...
Nikipata muda ntakuja kukukosoa zaidi
Mkuu kwanza naomba umpuuze mleta maada maana ni muongo...Naomba kuuliza kuna uwezekano mtoto akabemendwa akabaki na afya yake mzuri ila akawa mlegevu na kushindwa kutembea na darasa hapo ndugu zangu.
VIRUS: Hivi ni vijidudu ambavyo kila mtu anavyo
vya kwake na pia haviingiliani baina ya mtu na
mtu
m na hapa ndipo tutaeleza kwa kina madhara ya
zinaa kisayansi. Lazima pia tujue kuwa Virus
wanafanya kazi gani na pia wanakwenda wapi.
Katika virginal wall kuna vijistomata (vitundu)
maalum kwa ajili ya kupokea virus; sababu
mwanaume anapotoa manii yake yenye
protein,acid sperm/chromosomes na virus kila
kimoja huchukua nafasi yake kwenda
kunapohusika. Nafasi ya virus ni kuingia katika
vitundu vilivyo katika virginal m wall ili vipate kuishi humo kwa kuwa ndipo alipowapangia Mwenyezi Mungu. Hivyo basi ukiwa unamuingilia mkeo na ukitoa manii basi moja kwa moja virus wako watakwenda kuingia katika vijitundu vilivyo kwenye varginal wall ili kuishi humo. Ina maana virus watakaoingia kuishi kwa mkeo ni wale ambao wamezoeana. Sasa ikija kutokea mkeo akazini na mwanaume mwingine ataingiziwa virus wasiokuwa wako. Hivyo hawa wapya wakiingia nao pia watataka kuingia katika yale matundu ili nao wakaishi. Kwa kuwa ndivyo alivyowapangia Mwenyezi Mungu, hawa wapya wakiingia tu wale wa zamani ambao ni wa mume, watawashangaa, watajiuliza hawa nao wametokea wapi? Mbona si katika wale tuliozoeana? Kwa kushangaa huku wale virus wenyeji watawashambulia virus wageni kama antibody bacteria (kitu kinachotoka nje yamwili). Na katika mapigano haya watapelekea kundi moja kufa na kundi moja likifa lazima wale waliokufa watoke, watatoka vipi? Au watatokea wapi?
Jibu ni pale pale walipoingilia. Hapo sasa ndipo mtu anapoanza kutokwa uchafu. Na pia virus wapya waliosalimika wakiona wanazidi kushambuliwa na virus wa zamani itabidi watoboe sehemu nyingine zisizohusika ili wakimbie na kujificha katika nyama laini. Hapo ndipo mtu anapoanza kupata maumivu makali wakati wa kukojoa na pia ndio chanzo cha magonjwa mbalimbali ya zinaa, na wakati huo mume akimuingilia mkewe naye pia atapata ugonjwa wa zinaa sababu atakutana na virus wageni waliojificha kujihami katika sehemu laini zisizohusika watamuingia mume kupitia mrija wa urinary truck (mrija wa mkojo).
Ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema zinaa ni uchafu. Na uchafu unaokusudiwa ni kuchanganya mifumo tofauti ya mwili yaani mwanamke kuingiliwa na mwanaume zaidi ya mumewe pekee.
Na hapa ndipo tunapoona hekima ya Mwenyezi Mungu kwa mfano kwa baadhi ya dini kwamba kwa nini ameamrisha mwanamke kuolewa na mwanaume mmoja na mwanaume kuoa mwanamke zaidi ya mmoja, Hii ni kwa sababu mwanamke anapokea manii yenye kubeba VIRUS wa asili kutoka kwamumewe.
Ila ieleweke kuwa mwanaume atakiwa awe muaminifu kwa wake zake, akitoka nje ya ndoa zake atawaletea magonjwa wakeze. Hapandipo inapopatikana hekima ya mwanamke aliyefiwa na mumewe au aleyeachwa kwa talaka lazima akae eda. Eda si tu kuangalia kama mwanamke ana mimba, bali pia katika kipindi cha miezi mine na siku kumi ambacho mwanamke anakaa eda kwa kuwa katika kipindi hicho haingiliwi ina maana wale virus watakosa protein inayopatikana katika manii ambayo ndio chakula chao, hivyo kwa kukosa chakula watakufa. Kwa hiyo katika kipindi hicho mwanamke anaandaliwa ili kama ataolewa tena na mume mwingine huyu mume mpya ajitengenezee mifumo yake mipya ambayo haitapingana na ile ya mwanzo. Hivyo Mwenyezi
Mungu alipokataza ZINAA anajua kwa kina
madhara yake. Njia bora ya kupambana na
magonjwa mbalimbali.
Magonjwa hayo kwa kingereza ndio wanaita Sexual transmitted Diseases (STDs) na kweli yana madhara makubwa mno kwenye jamii yetu.
Nawasilisha.....
Mkuu hata kama mwanamke atafanya zinaa na mwanaume mwingine hakuna madhara ya kibaiolojia yanayoweza kumpata mtoto (Hii mada inaleta maswali vikirishi zaidi badala ya kwenda kwenye hitimisho moja kwa moja .
Kuna kitu umeona hapo kwenye suali lako la kwanza point bado IPO hivyo ilivyo kwamba baba na mama wanaweza kuendelea kufanya tendo ila haitamuadhiri mtoto,lakini mama akitoka nje basi mtoto anadhurika .
Hicho kunachomdhuru mtoto ni nini ?tukiite Acid au kama kuna jina lingine la kisayansi liweke hapa Mkuu jamii tufahamu.
La pili umezungumzia viruses ni kweli hapo virus ni mpaka mhusika awe na maambukizi na hayo maambukizi ni ya maradhi yote ya zinaa .
Maana tukisema tu maambukizi wengi huelewa ni HIV/AIDs peke yake .
hapa ishu ni usafi ,hata kama ni mkeo unapiga mzigo na kumnyonyesha mtoto lazima ataharisha tuHii mada inaleta maswali vikirishi zaidi badala ya kwenda kwenye hitimisho moja kwa moja .
Kuna kitu umeona hapo kwenye suali lako la kwanza point bado IPO hivyo ilivyo kwamba baba na mama wanaweza kuendelea kufanya tendo ila haitamuadhiri mtoto,lakini mama akitoka nje basi mtoto anadhurika .
Hicho kunachomdhuru mtoto ni nini ?tukiite Acid au kama kuna jina lingine la kisayansi liweke hapa Mkuu jamii tufahamu.
La pili umezungumzia viruses ni kweli hapo virus ni mpaka mhusika awe na maambukizi na hayo maambukizi ni ya maradhi yote ya zinaa .
Maana tukisema tu maambukizi wengi huelewa ni HIV/AIDs peke yake .
Kama ishu ni usafi unafikiri kwamba chuchu zao zinakuaga chafu ndio maana watoto wanakua legelege na kuchelewa kutembea je ni nini husababisha haya?hapa ishu ni usafi ,hata kama ni mkeo unapiga mzigo na kumnyonyesha mtoto lazima ataharisha tu
ndugu nimeshawahi kuwa na mahisiano na mke wa mru mwenye mtoto wa miezi 5,alitembea akiwa na miezi 9 hakuna cha kubemenda wala nini.huo ni utapiamlo unaosababisha hali hiyoMkuu hata kama mwanamke atafanya zinaa na mwanaume mwingine hakuna madhara ya kibaiolojia yanayoweza kumpata mtoto (
Kama ishu ni usafi unafikiri kwamba chuchu zao zinakuaga chafu ndio maana watoto wanakua legelege na kuchelewa kutembea je ni nini husababisha haya?
Afadhal mkuu uwaelimishe.....ndugu nimeshawahi kuwa na mahisiano na mke wa mru mwenye mtoto wa miezi 5,alitembea akiwa na miezi 9 hakuna cha kubemenda wala nini.huo ni utapiamlo unaosababisha hali hiyo
JE KWANINI KUWA NA MPENZI ZAIDI YA MMOJA AU ZINAA IMEKATAZWA?SOMA HADI MWISHO KUJUA SABABU *KISAYANSI*
Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu.
Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne:
• PROTEIN,
• ACID,
• SPERM au CHROMOSOME,
• VIRUS.
AHSANTE SOMO ZURI SANA