Mtoto kamuambukiza Mama. (The truth)

Mtoto kamuambukiza Mama. (The truth)

livewise1

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
837
Reaction score
972
Habar za asubuhi.
■Wakuu kuna mwanamke amehamia apartment za hapa mtaa wetu siku sio nyingi sana. Ana mtoto mmoja na huwa tunaona jamaa anakuja juma mosi asubuhi na kuondoka mida ya jioni pale(nahisi ni partner wake)
■Mtoto wake anapenda sana kukaa karibu na mimi na akiniona narudi kutoka mihangaiko anakuja mbio kunipokea basi ikapelekea nikawa nakabebea vijizawadi (si wajua watoto tena)
■Mama ake akija kumchukua inakuwa ugomvi dogo hataki kuondoka labda nimchenjie mimi au nimpe kitu tumbembeleze ndio anakubali.
■Mwanzoni mamake alikuwa anapaniki sana baadae akawa cool, kadri siku zinaenda naona na mama mtu kaelemewa.
■Asipomuona dogo anakuja kwangu asipomkuta ananiomba nimsaidie kumtafuta. Sasa akaanzisha story kama kunichimba flani how I live na kwa vipi nina hulka ya kuwa nurture watoto.
■Kumbe bana kashaambukizwa na mwanae upendo, jioni jana kaja kanisaidia vijikazi vingi tu (alikuja kumchukua dogo) wakati tunaongea akaniambia "MY CHILD HAS BECOME A BRIDGE TOWARDS YOU"
nikamwambia sijakupata, akasema "I LOVE YOU, MWANANGU KANIAMBUKIZA"
.
(hakuwa na woga asee)
.
.
nikamwambia tutaongea kesho saivi muda umeenda kuna mahali naenda (nilialikwa na mdada flani super na alishaanza kuni text)

NB: HII ISHU IMETOKEA JANA.
 
[emoji848]
naijatwittersavages-20190610-0004.jpeg
 
Sasa hili nalo linahitaji ushauri mjomba?
Kipi kinakutatiza hapo?

Mchukue ila usijipe 100% kwamba ni wako.
Ujue baba mtoto akija usichukie. Mega kisela. Kama huna roho ngumu muache.
 
Kuna mahali nimesema nahitaji ushauri mkuu.
Vua miwani hiyo usome vizuri!
Sasa hili nalo linahitaji ushauri mjomba?
Kipi kinakutatiza hapo?

Mchukue ila usijipe 100% kwamba ni wako.
Ujue baba mtoto akija usichukie. Mega kisela. Kama huna roho ngumu muache.
 
[emoji3][emoji3]single mother.


Kama mwanae tayari anakupenda, kaona mnaweza mlea vizuri mkiwa pamoja.
Habar za asubuhi.
■Wakuu kuna mwanamke amehamia apartment za hapa mtaa wetu siku sio nyingi sana. Ana mtoto mmoja na huwa tunaona jamaa anakuja juma mosi asubuhi na kuondoka mida ya jioni pale(nahisi ni partner wake)
■Mtoto wake anapenda sana kukaa karibu na mimi na akiniona narudi kutoka mihangaiko anakuja mbio kunipokea basi ikapelekea nikawa nakabebea vijizawadi (si wajua watoto tena)
■Mama ake akija kumchukua inakuwa ugomvi dogo hataki kuondoka labda nimchenjie mimi au nimpe kitu tumbembeleze ndio anakubali.
■Mwanzoni mamake alikuwa anapaniki sana baadae akawa cool, kadri siku zinaenda naona na mama mtu kaelemewa.
■Asipomuona dogo anakuja kwangu asipomkuta ananiomba nimsaidie kumtafuta. Sasa akaanzisha story kama kunichimba flani how I live na kwa vipi nina hulka ya kuwa nurture watoto.
■Kumbe bana kashaambukizwa na mwanae upendo, jioni jana kaja kanisaidia vijikazi vingi tu (alikuja kumchukua dogo) wakati tunaongea akaniambia "MY CHILD HAS BECOME A BRIDGE TOWARDS YOU"
nikamwambia sijakupata, akasema "I LOVE YOU, MWANANGU KANIAMBUKIZA"
.
(hakuwa na woga asee)
.
.
nikamwambia tutaongea kesho saivi muda umeenda kuna mahali naenda (nilialikwa na mdada flani super na alishaanza kuni text)

NB: HII ISHU IMETOKEA JANA.
 
Hayo ataniambia yote ngoja tu.
Japo kuna jamaa kila jmosi anakujaga na kusepa nahisi ni partner wake.
[emoji3][emoji3]single mother.


Kama mwanae tayari anakupenda, kaona mnaweza mlea vizuri mkiwa pamoja.
 
Vitabu vya dini vmeandika "Acheni watoto waje kwangu" na sio mama zao so just take care!!
 
Back
Top Bottom