mgosani
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,004
- 1,138
Mtoto mwenye umri wa miaka kati ya 7na 8 amejeruhiwa na mabomu ya machozi yaliyopigwa na askari polisi kwenye makazi ya wananchi wakati wakiwafukuza wafanyabiashara ndogo ndogo (wamachinga) katika soko la Mchikichini Ilala Dar-es-salaam.
Jambo la kusikitisha katika kufunika unyama huo familia ya majeruhi imepewa shillingi elfu kumi (10,000/-) ilikumhudumia mtoto huyo!
Nashauri viongozi wa Jeshi la Polisi hebu angalieni mwenendo wa askari wenu lawama na dhahma mtazibeba nyinyi.
chanzo channel 10
Jambo la kusikitisha katika kufunika unyama huo familia ya majeruhi imepewa shillingi elfu kumi (10,000/-) ilikumhudumia mtoto huyo!
Nashauri viongozi wa Jeshi la Polisi hebu angalieni mwenendo wa askari wenu lawama na dhahma mtazibeba nyinyi.
chanzo channel 10