Mtoto anarikaruka tumboni

starlady

Member
Jan 2, 2013
24
5
Mimi nina ujauzito wa kwanza wa takribsni miezi 5. Hivi karibuni mtoto alikuwa kimya kwa takribani wiki [yaani hanipigi saana]. Kwa muda wote huo nilikuwa ndani tu bila kutoka hata nje nipigwe jua. Juzi nilitoka na hsz b wangu tukatembea kwa takribani 3km. nilichoka kweli kweli hadi miguu inaniuma. Kuanzia hapo sasa kababy kanazunguka speed ya ajabu utadhani piranha/samaki japo sipati maumivu. Je hii ni normal?
 
Katoe shukrani kanisani, Kwani jambo jema sana kwa mtoto kurukaruka tumboni,Na tamani acheze hadi usiku.
 
Katakuwa ni kacheza kung fu hako,usimseme akishakuwa mkubwa atakuzinguaaaa[/QUOTE]


pole sana na kutokujua kwako,mana majibu waliyokupa.inaonekana hawa wote hawajazaa,niseme maendeleo mazuri ya afya ya mtoto wako tumboni,ni pamoja na hizo sarakasi zake.shukuru kwamba mimba yako inaendelea vizuri. Ebu tuzalie mwana CHADEMA !
 
tunataaabu wa mama hapo upigwe mateke baadae uchungu maji ya moto kaaazi kweli kweli!pole
 
Katakuwa ni kacheza kung fu hako,usimseme akishakuwa mkubwa atakuzinguaaaa


pole sana na kutokujua kwako,mana majibu waliyokupa.inaonekana hawa wote hawajazaa,niseme maendeleo mazuri ya afya ya mtoto wako tumboni,ni pamoja na hizo sarakasi zake.shukuru kwamba mimba yako inaendelea vizuri. Ebu tuzalie mwana CHADEMA ![/QUOTE]

Nilikatishwa tamaa kwa majibu yao ya utani wakati mie niko serious, sasa najihisi safi kwa uahauri wyako wa kiutu uzima. Eheee kichwa kinaniuna uma kwa kushtukizia, hii nayo ikoje?
 
Hiyo mimba ni unplanned pregnancy nini yaani kitoto kuruka umeshahisi ni ugonjwa kha kwa hiyo ulifikili una chura tumboni.
 
Katoe shukrani kanisani, Kwani jambo jema sana kwa mtoto kurukaruka tumboni,Na tamani acheze hadi usiku.

nahisi kanaruka sarakasi aina zote, loh! Hivi miezi mitano ni wiki ngapi vile? Quickening huanza around week ya 18. Unatakiwa ufurahie na kumshukuru Mungu maana! Nikifikiriaga mambo ya mimba huwa nawabariki tu wanawake wote walio kwenye kipindi cha uzazi. Sijui nimezoea kukutana na abnormal wengi mno! Mungu awape baraka wale wote wanaotunza mimba na kuzaa na kulea watoto wao.
 
Mimi nina ujauzito wa kwanza wa takribsni miezi 5. Hivi karibuni mtoto alikuwa kimya kwa takribani wiki [yaani hanipigi saana]. Kwa muda wote huo nilikuwa ndani tu bila kutoka hata nje nipigwe jua. Juzi nilitoka na hsz b wangu tukatembea kwa takribani 3km. nilichoka kweli kweli hadi miguu inaniuma. Kuanzia hapo sasa kababy kanazunguka speed ya ajabu utadhani piranha/samaki japo sipati maumivu. Je hii ni normal?

very very normal,ul4kua unamnyika beibe starehe ya kufanya matembezi,do it again and again utazid kumfurahisha.
 
nahisi kanaruka sarakasi aina zote, loh! Hivi miezi mitano ni wiki ngapi vile? Quickening huanza around week ya 18. Unatakiwa ufurahie na kumshukuru Mungu maana! Nikifikiriaga mambo ya mimba huwa nawabariki tu wanawake wote walio kwenye kipindi cha uzazi. Sijui nimezoea kukutana na abnormal wengi mno! Mungu awape baraka wale wote wanaotunza mimba na kuzaa na kulea watoto wao.

thanx alot jaman....be blessed kwa ushauri mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom