The lariat
JF-Expert Member
- May 16, 2025
- 1,351
- 1,921
Nauliza na sio kwa ubaya.
Wewe ni mchaga?
Wachaga wana mambo ya kimila ambayo kama hujayatimiza utahangaika sana.
Kuna mchaga mmoja alikua na mtoto mdogo akasafiri naye kwenda sehemu nyingine kutoka Dar kabla ya kumpeleka mtoto Moshi. Mtoto alilia mwanzo mwisho, baada ya baba yake kupiga simu Moshi na kupewa maelekezo ya kimila mtoto alitulia kama maji kwenye mtungi.
We huonagi wachaga especially walio oa makabila mengine hua wana wapeleka watoto KLM mara tu wanapopata nguvu baada ya kuzaliwa.
Mzazi wa kichaga akikuambia usimuoe fulani, usije ukajifanya eti I LOVE HER. NA USIULIZE SABABU.
Wewe ni mchaga?
Wachaga wana mambo ya kimila ambayo kama hujayatimiza utahangaika sana.
Kuna mchaga mmoja alikua na mtoto mdogo akasafiri naye kwenda sehemu nyingine kutoka Dar kabla ya kumpeleka mtoto Moshi. Mtoto alilia mwanzo mwisho, baada ya baba yake kupiga simu Moshi na kupewa maelekezo ya kimila mtoto alitulia kama maji kwenye mtungi.
We huonagi wachaga especially walio oa makabila mengine hua wana wapeleka watoto KLM mara tu wanapopata nguvu baada ya kuzaliwa.
Mzazi wa kichaga akikuambia usimuoe fulani, usije ukajifanya eti I LOVE HER. NA USIULIZE SABABU.